Ulikuwa mpango wa Mungu kuhakikisha Magufuli anakuwa Rais kwanza ndio afariki

Upuuzi mtupu, Magufuli, Magufuli, wasukuma mlishamuona Magufuli kama mungu wenu sivyo!! Ndo kashaondoka sasa, na harudi tena!!
Wasukuma tunasakamwa sana ila huko mbele tutaelewana tu pale mtakapojua kabila la wasukuma ni kubwa kama Tanzania nzima na hawatishwi na wavaa vilemba wa ki Mwinyi
 
Tunaendelea kumshukuru Mungu kwa ajili ya maisha ya mtumishi wake John Joseph Pombe Magufuli🙏🏻🕯️🕯️🕯️
 
Umepata lini maono hayo, maana ulikuwa mstari wa mbele kumtukana na kumpinga.

Nenda, edit na utangulize TOBA kwanza.
 
Itachukua zaidi ya miaka milioni 1 watanzania kusahau mema ya raisi Magufuli
 
Magufuli alikuwa shetani tu
 

Huoni kuwa hawa ndugu:

Your browser is not able to display this video.


Hawana jema na huyo shujaa wako.

Kwani hiyo dua ikiombwa nao walishirikishwa tuseme huku ni kukengeuka kibinadamu tu?
 
true, kila kitu ni mpango wa Mungu, hata mipango ya vifo vya ajali na majanga mbalimbali ambayo ni mipango ya shetani, kikitokea kifo ni Mungu ameruhusu!.
P
 
true, kila kitu ni mpango wa Mungu, hata mipango ya vifo vya ajali na majanga mbalimbali ambayo ni mipango ya shetani, kikitokea kifo ni Mungu ameruhusu!.
P
Mkuu mwandiko wako ni wachache sana wenye uwezo wa kuusoma. Naipenda sana hati yako Bro
 
Wasukuma bado mna tongotongo

Lucifer anaongoza malaika huko

Alisema akikaribia kustaafu ataongeza mshahara,MWENYEZIMUNGU alishajua kua Hana mpango wa kustaafu pale ukomo wake utakapofika,ikabidi amuondoe

Akasema HAJARIBIWI Kwa maana yeye ni MUNGU

Maisha yake na matendo yake totally yalikua yanasidifu sifa za Uungu NISIKILIZENI MIMI,NIOGOPENI MIMI NA MNITII,Kwa ufupi alikua MUNGU MTU

MWIZI,sasa ile T 1.5 akanunulie njia ya kwenda paradiso (he can buy his way to heaven)

Lissu bado anakula mema ya dunia

Ashukuriwe MUNGU
 
Enzi za Baba wa Taifa Tanzania ilikuwa ni moja ya Nchi zenye ushawishi mkubwa barani Afrika na ilikuwa ni moja ya Nchi yenye heshima yake Duniani kwahiyo acha kuandika ujinga hapa.


Nina uhakika wa asilimia 99.99 kwamba hujasoma kabisa kilichoandikwa ndani ya mada ila umejibu kichwa cha habari.









Jitahidi kuziongoza hisia zako na sio kinyume.

Ahsante.
 
Uliyeandika huu uzi naomba unikumbushe hivi daraja la Tanzanite lilianza kujengwa wakati wa awamu ipi ya uongozi?, halafu tuanzie hapo.
 
Umepata lini maono hayo, maana ulikuwa mstari wa mbele kumtukana na kumpinga.

Nenda, edit na utangulize TOBA kwanza.
Sijawahi na sintowahi kumpinga hayati John Pombe Magufuli.

Hebu jipe muda wa kupitia thread zangu au comment kabla na baada ya uchaguzi alafu ndo uje ulete huo mtizamo wako hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…