Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu shukran zangu zikufikie popote ulipo. Kuna watu huwa na tabia ya kusoma kichwa cha habari na kukimbilia ku comment bila ya kusoma na kuelewa kilichoandikwa ndani.Nina uhakika wa asilimia 99.99 kwamba hujasoma kabisa kilichoandikwa ndani ya mada ila umejibu kichwa cha habari.
Jitahidi kuziongoza hisia zako na sio kinyume.
Ahsante.
Limeanza kujengwa wakati wa uongozi wa hayati Magufuli na kuisha kipindi cha uongozi wa raisi Samia.Uliyeandika huu uzi naomba unikumbushe hivi daraja la Tanzanite lilianza kujengwa wakati wa awamu ipi ya uongozi?, halafu tuanzie hapo.
Ni nani alieandika Muhammad na ni wapi?Muhammad ndo nani?😳
Watanzania tumejifunza mengi kupitia yeye. Alikuwa mchapakazi, mpambanaji na mzalendo wa kweli.Ile yule jamaa alikuwa na kichwa inachaji hatari,kuna mifumo mingi alianzisha,asee wale ndo maraisi hawapumziki,Mungu amrehemu
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Umeshapata jibu la swali lako la nani mwenye kifua kizuri kati ya kiba na konde?Naww kwenda na magufuli wako tumechoka.. Kufa kafa Muhammad asife yeye [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57].. Nyoooo
Ok mkuuKila jambo nimipango ya Mungu ila ukilinganisha mabaya yake na mazuri yake Mola akamuona bora amwite maana angeendelea nchi ingekuwa ya ovyo sana
Umenifanya nicheke sana. But nina imani ameshapata jibu kupitia yeye mwenyewe 🤣🤣🤣Umeshapata jibu la swali lako la nani mwenye kifua kizuri kati ya kiba na konde
Umenifanya nicheke sana. But nina imani ameshapata jibu kupitia yeye mwenyewe 🤣🤣🤣Umeshapata jibu la swali lako la nani mwenye kifua kizuri kati ya kiba na konde
Sasa kosa lake ni nini?Na babu yako kufa ilisukwa awe rais wa wapi ndiyo afe? Jinga kabisa mleta mada.
Na Membe je ?
Achana nae huyo mkuu, kumbuka jana ilikuwa mwanzo wa weekend.Sasa kosa lake ni nini?
Au ile ya mabibo ya korosho kule kusini wanaiita "nipa".Achana nae huyo mkuu, kumbuka jana ilikuwa mwanzo wa weekend.
Hivyo nina imani jamaa alieni quote alikuwa ashakunywa chibuku yake na mapupu, hali iliyopelekea kujiona yuko sahihi hata pale alipoandika utumbo wa wazi kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kaandika Mpwayungu Village comment #2Ni nani alieandika Muhammad na ni wapi?