Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Habari za mchana
Naenda direct kwenye mada
Ulikuwa na mtazamo gani kuhusu kuzika na mala yako ya kwaza kuzika hilikuwaje
Mimi nilikuwa najua mtu akizikwa basi anakutokea usiku unapolala
Nakumbuka mara yangu ya kwaza kwenda kuzika nilikuwa darasa la tano mwezetu alifiwa na baba yake kwaiyo tukatakiwa kwenda kuzika na alikuwa muislamu kwaio walizika siku hiyo hiyo
Basi mimi nilienda huku naogopa tulifaka tukazika tukaludi nyumban kufika nyumban umeme umekatika kipindi hiko umeme ulikuwa unasumbua sana nilienda kubadili nguo nikawa nakaa nje nasubilia chakula nikawa nikitumwa nakimbia humo ndani mda mwingine nakataa kabisa
Basi nikaingia ndani dada angu akanigusa begani nililia kwasauti niligumia sana mpka akashanga
Ulipo fika muda wa kulala nilikesha macho nikisizia nakistuka nagumia mpka nikaenda kulala na dada angu siku hiyo
Sasaiv nikikumbuka najiona mjinga sana
Naenda direct kwenye mada
Ulikuwa na mtazamo gani kuhusu kuzika na mala yako ya kwaza kuzika hilikuwaje
Mimi nilikuwa najua mtu akizikwa basi anakutokea usiku unapolala
Nakumbuka mara yangu ya kwaza kwenda kuzika nilikuwa darasa la tano mwezetu alifiwa na baba yake kwaiyo tukatakiwa kwenda kuzika na alikuwa muislamu kwaio walizika siku hiyo hiyo
Basi mimi nilienda huku naogopa tulifaka tukazika tukaludi nyumban kufika nyumban umeme umekatika kipindi hiko umeme ulikuwa unasumbua sana nilienda kubadili nguo nikawa nakaa nje nasubilia chakula nikawa nikitumwa nakimbia humo ndani mda mwingine nakataa kabisa
Basi nikaingia ndani dada angu akanigusa begani nililia kwasauti niligumia sana mpka akashanga
Ulipo fika muda wa kulala nilikesha macho nikisizia nakistuka nagumia mpka nikaenda kulala na dada angu siku hiyo
Sasaiv nikikumbuka najiona mjinga sana