Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha. Pole Kaka Kiiza. Sipendi kulaumu lakini nimejiuliza ni kwa nini kwa Tanzania mimba zimekuwa sawa na ugonjwa au niseme tu ni kufa na kupona?? Why???? Ni wapi tumezembea??? Imekuwa jambo la kawaida kwa sasa kusikia mtu amekufa kwa sababu ya uzazi mpaka imekuwa inaongeza BP kwa wajawazito wakifikiria kama watapita salama.