Ulikuwa unamjua Linda Bezuidenhout?

Ana laana tu huyu mama, matusi sio ujanja ni ushamba tu


Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
 
angekuwa bongo huyo wananchi wangefanya juu,chini hadi wamsombe wabongo nomaaa

Si kihivyo kama unavyodhani, huyo mtoto wa Kimesera anatumia akili nyingi sana hapa duniani kama Maxence Melo, watu wa hivi hawana muda wa kuchanganywa na viruka njia muda wake anatumia kutengeneza masoftware.
 
Si kihivyo kama unavyodhani, huyo mtoto wa Kimesera anatumia akili nyingi sana hapa duniani kama Maxence Melo, watu wa hivi hawana muda wa kuchanganywa na viruka njia muda wake anatumia kutengeneza masoftware.

Kuna dada yao mmoja akiitwa Tas aliwapeleka resi sana mabrazameni wa Obay early nineties.

Ukizuka kwa mzee Kimesera nyuma kwa Mengi pale weekends enzi hizo huwakosi kina Mtei, Makani etc, watu tukafikiri wazee wanakumbushiana tu. Kumbe ndio walikuwa wanapanga mkakati wa kuanzisha CHADEMA.

Leo hii unakutana na watoto wanajifanya wanaijua sana CHADEMA hata ukiwauliza Kimesera nani hawamjui wala historia ya chama hawaijui.

I don't mean to derail, hilo jina la Kimesera limenikumbusha mbali sana Obay.
 
Kiranga

You nailed it, na Mzee Kimesera hakubaki nyuma na yeye ujana akachukuwa mtoto wa kitasha ndio wamemzaa Mali.

Hawa wapiga porojo wengi ni ule mkumbo wa Zitto na Dr Slaa kumbe hawajui kile chama kina madon wake, ndio kaana huyu dogo Zitto alipoleta ujuwaji simply aliambiwa chama hawezi kukabidhiwa mtu from no where.

Nota bene: Na kipindi hiko hata Freeman Mbowe alikuwa hana jeuri ya kukaa hiyo meza ya Madon yeye kazi yake ilikuwa ni kuandaa makabrasha na kuwa servant tu.

ukiweza kuyajuwa haya ( badly Chadema fuata mkumbo hawaelewi kitu) wala huwezi kupata shida kujuwa kwamba kuwa na vyeti vya vyuo vikuu wala si kuelimika, hapa ndipo utaona usomi wa Zitto na Kitila Mkumbo ni sifuri.
 
Last edited by a moderator:
Si kihivyo kama unavyodhani, huyo mtoto wa Kimesera anatumia akili nyingi sana hapa duniani kama Maxence Melo, watu wa hivi hawana muda wa kuchanganywa na viruka njia muda wake anatumia kutengeneza masoftware.

Heeeheee...
 
Kabeba sana unga huyu enzi zake, ndio wale mazungu wa kike wa kwanza bongo enzi hizooo anakaa sinza maeneo y Bobs hao kina Nsembo, Kanyau, Bachala wote wasingemkimbiza wakati huo alikuwa na Pesa chafuuuu, Mwanamke wa kwanza kumiliki Celica Sportvenzi hizo watu wanatamba na 504.... Pia Alikuwa ana coster zake zimeandikwa Linda Trans...Na Bado Mrembo vilevile kama zamani kweli Udongo wake Mzuri


Sent from my iPhone 5c using JamiiForums
 
Matola

Hahahahaha we jamaa mtata sana aisee
 
Last edited by a moderator:
Matola
mmh Matola kuna wakati hata hao huwa vishawishi vikizidi uzalendo unawashinda, kuna wanawake kutwa hawanakazi bali ni kutafuta mbinu za kuwasomba wanaume.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…