Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haki ya mungu tena naomba msaada kwenye tuta! Yaani kila nikijaribu kutamka hilo jina tangu enzi za Rich, nashindwa! Hivi ni Bezu...what? Anayeweza kuweka pronoanciation ya hilo jina?! Dinazarde, kweli ni binamy yako? Nisaidie basi hilo jina manake mnh!
anatukana huyu duuh
kuna clip moja iliwekwa na mange sijui alikuwa anamchamba nani, yaan katengeneza clip ya kumnyamba mtu hapo ndio nilimuona huyu dada ni kiboko. halafu binti yake mdogo ndi alikuwa anamshoot.
kuna clip moja iliwekwa na mange sijui alikuwa anamchamba nani, yaan katengeneza clip ya kumnyamba mtu hapo ndio nilimuona huyu dada ni kiboko. halafu binti yake mdogo ndi alikuwa anamshoot.
angekuwa bongo huyo wananchi wangefanya juu,chini hadi wamsombe wabongo nomaaa
She is cute
and that Husby uuhhh Super duper handsome
Nadhani ana personality ya UBISHI...lakini look at her today...Kafanikiwa.....Tujifunze kitu katiks kila type ya mtu...Mabaya yao tuwaachie wenyewe.....
Mambo ya ulaya hayo mwayego