Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
- Thread starter
-
- #241
Nimekuoa like moja hapo[emoji23]Mie kama nilifahamu hii kitu itatokea maana nyuzi za maandamano zilizidi humu. Ilipogoma kuchek page yao ya insta nikakuta maelezo ya tatizo.
Nilimiss likesss
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji91]Najua mchumba jamani sasa mbona upo busy jf toka basi utaunguza
Mi nilizimiss zile mada za Demiss
Binafsi nili miss uwepo wako bebe wangu....
A woman, stronger than anyone I know humu JF
Rebeca 83 you were missed darling [emoji7][emoji7][emoji8][emoji8]
Hakawii kuja na yakukimbia na chupii leoMi nilizimiss zile mada za Demiss
Nakusalimiasimpaka niwape dada
[emoji1] [emoji1] [emoji1] mada zake zinaniachaga hoi kwa comment za watuHakawii kuja na yakukimbia na chupii leo
Hahaaaaa. Lol.
Ulijua kujiongeza rafiki.
Nilimiss wadau wa uzi wa kupeana likes kwakweli.
updates ya maandamano ya polisi.ghafla nikajua tayari malaika kashashuka kufunga mtandao wa JFBaada ya shambulio la jana lililopelekea mtandao pendwa kuwa down kwa masaa kadhaa na ukawa haupatikani kabisa uliwamiss member gani humu?
Ulimiss topic gani humu?
Ulimiss comments za member gani humu?
Upooooh!!Sidhani kama wamemaliza
Hahaha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umeanza
Nilikua naifikiria sana Jf family, it's my second home. Watu wa humu ndani utadhani naishi nao nyumba moja.Mi mwenyewe hii gemu nilikuwa naicheki huku nikiwa na mawazo kwamba jf ndo basi tena
Nilikua naifikiria sana Jf family, it's my second home. Watu wa humu ndani utadhani naishi nao nyumba moja.Mi mwenyewe hii gemu nilikuwa naicheki huku nikiwa na mawazo kwamba jf ndo basi tena
Mpaka mimi!Jana ndo niligundua kuwa naipenda jf kuliko Maelezo. Nilimiss vingi jamani. Jf members, nawapenda sana