Ulimaji wa zao La Mkonge. Naomba kujua gharama za kilimo na soko

Ulimaji wa zao La Mkonge. Naomba kujua gharama za kilimo na soko

Mamaya

JF-Expert Member
Joined
Jul 4, 2011
Posts
5,067
Reaction score
4,434
Heshima kwenu wadau, katika harakati za mawazo yanuwekezaji, kuna mdau alinidokeza juu ya kilimo cha mkonge, ila kwa kuwa sijawahi waza, wala kupata mtu ambaye amewahi kufanya hiki kilimo.

Naomba kupata details za:
1. Upatikanaji wa mbegu/ miche
2. Uhakika wa soko
3. Muda wa kuanza kuvuna tangu kupanda na unavuna kwa muda gani ndio unapanda mwingine
4. Makadirio gharama za upandaji heka moja, gharama za kuhudumia wastani wa heka moja
5. Mkonge unauzwa kwa kilo ama nini?

Karibuni kwa ushuhuda ndugu zangu
 
Unalimia wapi? Hili zao lazima ulime pembeni ya mashamba makubwa kule Tanga ili iwe rahisi kuwauzia, kama uko pekee basi lazima kweli iwe plantation ya kutosha
 
Back
Top Bottom