Ulimbukeni wa wakenya wa kupanga Budget kubwa wakati hela hawana.

Leta ushahidi, Tanzania is not failed state like Kenya. Tumewajengea reli Uganda, tunaenda kuwajengea barabara DRC, bure kwa pesa yetu. Hahahahaha
Tanzania is in the list of both failed states and LDCs with high number of poor civilians in the region.
 
20 trillion mtatoa wapi.. 20 trillion ni almost 1 trillion Kes.. Yani budget yenu ni ndogo but deficit ni kubwa kushinda kenya
Leta ushahidi, Tanzania is not failed state like Kenya. Tumewajengea reli Uganda, tunaenda kuwajengea barabara DRC, bure kwa pesa yetu. Hahahahaha
 
KRA inakusanya 1.8 trl, na bajeti yenu ni 3.1trl. Nusu kwa nusu. Hahahahaha, Hahahahaha.
Wacha ujinga stop displaying your ignorance and little education.Yes KRA inakusanya Kes 1.9tr direct taxes na hizo zingine zinaletwa na various license fees/permits,court charges ,fines ,document charges ,mineral royalties etc. MJINGA WA MWISHO WEWE ...all these charges are NOT included in KRA tax collection data.
 
Hahahahaha, failed state ninyi, mnapanga budget kubwa wakati hamna pesa mnategemea kukopa
Wivu wako ni mkubwa kuliko bajeti yenu ...hapo kuna deficit kali sana. Bajeti ya Kenya ni kubwa sababu uchumi wake ni mkubwa na ni uchumi umeendelea zaidi Afrika Mashariki ,duhhh.
 
Hiyo clip niliyokuwekea hujaiona na kusikiliza au njaa inasumbua?
Haya ndio maumivu ya kukesha kwenye jukwaa la Kenya, bila shaka lazima dish litayumba kama la mwenzako Geza Ulole. Na bado, Kenya itakuvuruga akili hadi upoteze focus kabisa. Utavunda kwa kukosa kuoga kwasababu kazi itakuwa ni kuwaza Kenya kutoka chee hadi machweo.
 
Hhhhhh!!!basi km sio mkopo mabeberu watawafadhili km kawaida yenu....haki ya nani...ldc n ldc tu
Hahahahaha, Tanzania is a great Nation. Ninyi mnadaiwa kila kona ya dunia, hadi wachina wamewakimbia, na mumeshindwa kumalizia kipande kidogo tu cha SGR kutoka Naivasha hadi Kisumu, Hahahahaha.
 
Wivu wako ni mkubwa kuliko bajeti yenu ...hapo kuna deficit kali sana. Bajeti ya Kenya ni kubwa sababu uchumi wake ni mkubwa na ni uchumi umeendelea zaidi Afrika Mashariki ,duhhh.
Kenya hoyeeeeeeeeee
 
Mm sio mchumi ila nahisi budget yao sio kubwa ila kutokana na exchange rate ya pesa yao ksh na ela zetu tsh ndio mana tunaona kuwa sana bajeti kubwa kuliko ss

Mfano exchange rate ya sasa ni 1tsh=24ksh so ndio mana tunaona pesa yao ni ming
 
Mm sio mchumi ila nahisi budget yao sio kubwa ila kutokana na exchange rate ya pesa yao ksh na ela zetu tsh ndio mana tunaona kuwa sana bajeti kubwa kuliko ss

Mfano exchange rate ya sasa ni 1tsh=24ksh so ndio mana tunaona pesa yao ni ming
Kweli wewe sio mchumi... ukijua kile umesema ni ujinga kabisa utajionea huruma.
Japanese yen is almost equal to Kenyan shilling exchange wise. Lakini bujeti ya Japan and Kenya sio sawa? Au vipi?

Watz yaani hamuamini Kenya ina ichumi almost 2 times ya Tz.. inaumiza wabongo kimoyo kabisa. Budget deficit is calculated against GDP. Kenya ina deficit ya 5.6% which is not bad in economics. Shida yetu ni alot of the population is informal and untaxed kwa hivyo alot of money is hard KRA to reach and few are over taxed.
Kenya haina shida ya kulipa loans. SGR loans zinaeza lipwa na railway levy pekee na tubaki na change to build more railway. SGR mpaka Kisumu haija simama, media has been making its own news on that, making Kenyans angry so govt decided to take it slow.
Watu wa pesa ya ndani kumbe hawana pesa kwa bajeti...
 
Hahahahaha, Tanzania is a great Nation. Ninyi mnadaiwa kila kona ya dunia, hadi wachina wamewakimbia, na mumeshindwa kumalizia kipande kidogo tu cha SGR kutoka Naivasha hadi Kisumu, Hahahahaha.
Yes great nation...bwahahaa...vipi hao mabeberu watawazawadia lini hyo tsh20 trillion...

Yani bajeti ndogo km piriton deficit kubwa kama mara moja...duh!!

Magu hoyeeee....na wakishawapa huo msaada mfungue thread...
Yani nchi ni Ldc tena ni failed state...wah!!
 
Hivi UK yuko wapi siku hizi, haijaonekana kitambo toka ile kesi ya gold smuggling...

Kwa hali ilivyo kiuchumi KE wameanza kumkumbuka Mwai Kibaki...
Tuletee ya tbc kuhusu tsh 20 trillion km serikali itatoa wapi...manake sijaelewa hzo tv stations zenu...au watangazaji wenu wanaogopa kutekwa
 
Tanzania is a donor country, Tulipeleka misaada, Msumbiji, Zimbabwe na Malawi. Tumeijengea reli Uganda, tunaenda kujenga barabara za Eastern DRC kuunganisha na Tanzania. Kenya hata kumalizia kipande cha SGR toka Naivasha mpaka Kisumu hamuwezi, failed state indeed. Hahahahaha, hahahahaha.
 
Vipi...mmeshapata mgao wa hela kutoka kw waume zenu mabeberu..[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Na mkashindwa kupeleka misaada kagera na bukoba...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…