Ulimbukeni

Ulimbukeni

KakaJambazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2009
Posts
18,804
Reaction score
12,227
Siku izi waafrica na hasa wabongo wakipiga picha lazima waonyeshe alama ya V, au kumwonyeshe kidole mwezake.
Ivi huwa mnajua maana yake au mnaiga tu?

Kwann mnakuwa feki ivi?
 
Back
Top Bottom