Daata
JF-Expert Member
- Dec 24, 2012
- 4,673
- 1,875
Heshima kwenu wanajukwaa.
Nina tatizo ambalo nimekaa nalo kwa kipindi kirefu nikidhani kuwa ni jambo la kawaida.
Tatizo langu ni ulimi kuungua kila ninapokula/kunywa kitu chochote cha moto. Ni tatizo ambalo nimekuwa nalo kwa miaka mingi.
Tukikaa na mtu tunakunywa chai ninatumia muda kiasi kwamba huyo mtu anaweza kunywa hata vikombe viwili mi bado nahangaika na kimoja.
Hapa nilipo ulimi una viraka baada ya kuungua vyenye kufanana na ramani sijui ya nchi gani.
Kuungua huko hakutengezi kidonda japokuwa huuma isipokuwa sehemu ya juu ndiyo huungua na kuonesha utofauti na sehemu zilibakia lakini baada ya muda kama siku tatu ulimu hurudia hali yake na hivyo viraka hutoweka na maumivu pia hutoweka.
Naomba kujuzwa mwenye ufahamu wa hili tatizo.
Nina tatizo ambalo nimekaa nalo kwa kipindi kirefu nikidhani kuwa ni jambo la kawaida.
Tatizo langu ni ulimi kuungua kila ninapokula/kunywa kitu chochote cha moto. Ni tatizo ambalo nimekuwa nalo kwa miaka mingi.
Tukikaa na mtu tunakunywa chai ninatumia muda kiasi kwamba huyo mtu anaweza kunywa hata vikombe viwili mi bado nahangaika na kimoja.
Hapa nilipo ulimi una viraka baada ya kuungua vyenye kufanana na ramani sijui ya nchi gani.
Kuungua huko hakutengezi kidonda japokuwa huuma isipokuwa sehemu ya juu ndiyo huungua na kuonesha utofauti na sehemu zilibakia lakini baada ya muda kama siku tatu ulimu hurudia hali yake na hivyo viraka hutoweka na maumivu pia hutoweka.
Naomba kujuzwa mwenye ufahamu wa hili tatizo.