Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ulimi ni kiungo kidogo ambacho hutusaidia kumezea chakula pia hutusaidia kutamka maneno na kuwa na mawasiliano na viumbe wengine.
Ulimi ni kiungo cha muhimu sana. Ni gate kati ya yaliyo moyoni mwako na dunia. Ukidhibiti ulimi hakuna atakae jua yaliyo moyoni mwako. Labda uyaandike.
Ulimi ni kiungo ambacho hakina mfupa lakini kimewekewa walinzi 32 wa kukilinda. Ulimi unaweza kukupatia heshima na marafiki kama utautumia vizuri. Kinyume chake ulimi unaweza kuku dharaulisha na kukujazia maadaui.
Tuwe makini na matumizi ya kiungo hiki, shirikisha viungo vingine kama moyo na ubongo kabla hujatumia ulimi sikuzote.
Ulimi ni kiungo cha muhimu sana. Ni gate kati ya yaliyo moyoni mwako na dunia. Ukidhibiti ulimi hakuna atakae jua yaliyo moyoni mwako. Labda uyaandike.
Ulimi ni kiungo ambacho hakina mfupa lakini kimewekewa walinzi 32 wa kukilinda. Ulimi unaweza kukupatia heshima na marafiki kama utautumia vizuri. Kinyume chake ulimi unaweza kuku dharaulisha na kukujazia maadaui.
Tuwe makini na matumizi ya kiungo hiki, shirikisha viungo vingine kama moyo na ubongo kabla hujatumia ulimi sikuzote.