Wanaojua mpira walimkubali huyo ulimwengu na ndio maana anacheza nje ya nchi na anaitwa Taifa starsKamwe cjawah kuona tija ya kumwita ulimwengu hajitambui kabsa awapo uwanjani anakimbiakimbia na kuzunguka na kukosa welekeo hajitambui kabsa wajibu wake anatumia nguvu nyingi bila msingi wowote hata kama akipata nafasi kuitumia hawezi kabsa, the same kwa kessy huwa anafanya makosa ya kijinga na kufanya faulo za kijiinga zisizo za lazima hasa Timu inapokuwa imefungwa mechi ya kesho wasianze kabsa Hawa Hawana lolote ni shida na mzigo
Hana chochote anajikanyaga tu nguvu nyingi akili kidogo ndo maana samata alimwacha akasepa zake Ulaya yeye akapigwa chini na TP mazambe hata baada ya mechi dhidi ya Cape Verde alikuwepo hapa TZ yawezekana hata timu anayochezea kashapigwa chiniWanaojua mpira walimkubali huyo ulimwengu na ndio maana anacheza nje ya nchi na anaitwa Taifa stars
Hana chochote anajikanyaga tu nguvu nyingi akili kidogo ndo maana samata alimwacha akasepa zake Ulaya yeye akapigwa chini na TP mazambe hata baada ya mechi dhidi ya Cape Verde alikuwepo hapa TZ yawezekana hata timu anayochezea kashapigwa chiniWanaojua mpira walimkubali huyo ulimwengu na ndio maana anacheza nje ya nchi na anaitwa Taifa stars
nje ya nchi ganiWanaojua mpira walimkubali huyo ulimwengu na ndio maana anacheza nje ya nchi na anaitwa Taifa stars
Mara ya mwisho kwako ww kupiga danadana ni lini??Kessy ni taka taka nashangaa ni kivip yupo timu ya taifa... apo bora namba 2 acheze nyoni tu
Kumbuka ametoka kwenye majeruhi, naskia alipasuliwa goti, ningumu kurudi mchezoni ghafla, hata Mimi pia simuoni ulimwengu Yule.Hana chochote anajikanyaga tu nguvu nyingi akili kidogo ndo maana samata alimwacha akasepa zake Ulaya yeye akapigwa chini na TP mazambe hata baada ya mechi dhidi ya Cape Verde alikuwepo hapa TZ yawezekana hata timu anayochezea kashapigwa chini
Huko nje anacheza wapi maana Sudan washamtemaWanaojua mpira walimkubali huyo ulimwengu na ndio maana anacheza nje ya nchi na anaitwa Taifa stars
Anacheza timu gani huko nje ya nchiWanaojua mpira walimkubali huyo ulimwengu na ndio maana anacheza nje ya nchi na anaitwa Taifa stars
Ajibu pamoja na uvivu wake wa kijinga ni bora kuliko ulimwengu