Ulimwengu then- Magufuli fights against Corruption , Inefficiency and lack of accountability!

Ulimwengu then- Magufuli fights against Corruption , Inefficiency and lack of accountability!

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Hiyo hapo chini interview ya Ulimwengu baada ya Magufuli kuchaguliwa kuwa raisi wa Tanzania, kamwagia sifa kibao na kumponda Kikwete kwa kumuuzi Kagame, ukiangalia na kusoma vizuri utaona who is pulling the strings hapa Tanzania, jisomee mwenyewe hapo chini, Ulimwengu wa wakati Magufuli anaelewana na Kagame na Ulimwengu wa leo ambapo Magufuli (RIP) hayupo, halafu mwenyewe tafuta common denominator ili ujue na kupata picha halisi kwamba hatuna nchi hapa.

 
Ulimwengu ana laana ,shukrani kwa watanzania wamempuuza
 
Huyu mwamba hafi tu midomoni mwa watu anazidi kuongelewa kila siku kwa mazuri ,mabaya na kukumbukwa tu.
 
Ulimwengu ana laana ,shukrani kwa watanzania wamempuuza
Mfumo wowote wenye kujielewa unahitaji design ya watu wenu…watu wa Kupiga kelele na kulinda mageti wakati wenye access wakiwa ndani wanakula. Tena sasa utakuta Ulimwengu huyu huyu unayemtukana analamba asali akiwa kwenye sofa ndani ya lounge na hao hao unaowalindia mageti.
Waliosoma Bulgaria na Cuba wananielewa.
 
Ulimwengu ni content character, ni mwigizaji tu ka jhoti
 
Hiyo hapo chini interview ya Ulimwengu baada ya Magufuli kuchaguliwa kuwa raisi wa Tanzania, kamwagia sifa kibao na kumponda Kikwete kwa kumuuzi Kagame, ukiangalia na kusoma vizuri utaona who is pulling the strings hapa Tanzania, jisomee mwenyewe hapo chini, Ulimwengu wa wakati Magufuli anaelewana na Kagame na Ulimwengu wa leo ambapo Magufuli (RIP) hayupo, halafu mwenyewe tafuta common denominator ili ujue na kupata picha halisi kwamba hatuna nchi hapa.

Msingi was siasa za Tanzania ni Unafiki. Hii ñi kuanzia juu mpaka chini
 
Back
Top Bottom