Ulimwengu wa FTA Satellite TVs


Update uzi wako umepitwa na wakati kabisa, watu wanataka mbinu mpya sio kila mtu anatueleza chaneli zinazokuja na kupotea, yaani tangu mwaka 2012, tueleze ni jinsi gani scrambled channels can be unscrambled, the easiest way please.
 
Update uzi wako umepitwa na wakati kabisa, watu wanataka mbinu mpya sio kila mtu anatueleza chaneli zinazokuja na kupotea, yaani tangu mwaka 2012, tueleze ni jinsi gani scrambled channels can be unscrambled, the easiest way please.
Kwa nini wewe usilete hio mbinu kama unajua ipo. Tatizo la watu wengine mnapenda kujifanya wajuaji sana. Kosoa halafu toa mbadala sio blaa blaa tu. Nyie ndio wale wa kusema Azam tunafungua kumbe uongo mkubwa tu.
 
Kwa nini wewe usilete hio mbinu kama unajua ipo. Tatizo la watu wengine mnapenda kujifanya wajuaji sana. Kosoa halafu toa mbadala sio blaa blaa tu. Nyie ndio wale wa kusema Azam tunafungua kumbe uongo mkubwa tu.

Nyie ndio mnaojifanya kufundisha watu kitu msichokijua, sina muda wa FTA, ninalipia pale ninapohitaji kuangalia decoder, za bure zinaonekana tu kwenye digital tv yangu yenye kighamuzi, usipende vya bure.
 
Habari wakuu, nna dish la Zuku bila king'amuzi, naskia kuna ving'amuzi visivyolipiwa...nawezaje kupata iko king'amuzi kuunganisha na dish langu?
Asanteni.
 
Jambo wote humu,
Nimependa sana utaalamu uliotumika kwenye hii picha,
Naomba kujua ukubwa wa hili dish na mpangilio wa LNB na satellite inazopata na jeNaweza ku-combine kwa pamoja Apstar 7 at 76.5°E, Intelsat 20 at 68.5°E, Intelsat 906 at 64.2°E and NSS 12 at 57.0°E????
asanteni.
 
yes inawezekaza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…