Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Hunting fta tv is a spirit. U need to acquire that spirit thru learning step by step on fundamentals of sat installation. B4 hand u need to get familiar with ur stb box {receiver/decoder} i mean u shud be friendy with ur stb box manual handbook. However u also need to start nabbing simple sats like eutelsat36A/36B, intelsat 906 and intelsat 10 where most sat dishes are positioned.
ah ah it seems ur really in love with your SPIRIT
A%20S%20576.gif
 
bab arselona kwanza nakupa manyota 3 ya p p p yaani pure Professional Player wee ni mkali na asie kukubali ni mnafiki

hebu angalia hizi vitu nataka kuvinunua kwa kutumia card ya aljazeera je kwa hapo itakua nimekamilisha kila kitu pi.PNGhumax.PNGpo.PNGcard.PNG
 

Attachments

  • dish.PNG
    dish.PNG
    39 KB · Views: 135
Asante kaka Arselona ni Arisat Ar600 mpeg4 hd kuna fundi kanifungia na dish la ft3 kwenye Eutelsat W4/7W dish limegeukia magharibu napata chanel za fta 13 tu, itv, tbc, star tv, ebru, setanta, nk ila bado nina dish la ft6 cjalifunga, msaada wako kaka.

kama ningekuwa na uhakika kuwa inaweza edit biss keys na kama ww ni mpenzi wa boli ningekushauri uliset kwa arabsat 5c. Aidha unaweza weka nilesat201/7WA @7degr west.
 
Last edited by a moderator:
bab arselona kwanza nakupa manyota 3 ya p p p yaani pure Professional Player wee ni mkali na asie kukubali ni mnafiki

hebu angalia hizi vitu nataka kuvinunua kwa kutumia card ya aljazeera je kwa hapo itakua nimekamilisha kila kitu View attachment 99262View attachment 99263View attachment 99264View attachment 99265

ndiyo ila nakushauri uvute subira kidogo ili tupata ufumbuzi kama aljazeera itapata haki ya kuonyesha epl kwa miaka mitatu ijayo. Akifanikiwa haijulikan bado kama ataonyesha kupitia sat gan.
 
ndiyo ila nakushauri uvute subira kidogo ili tupata ufumbuzi kama aljazeera itapata haki ya kuonyesha epl kwa miaka mitatu ijayo. Akifanikiwa haijulikan bado kama ataonyesha kupitia sat gan.
ok ahsante ila kwa hivi sasa hivi hapo vitaweza kufanya kazi poa
 
inaonekana kama vle nimelitelekeza darasa. Kwa kweli ckuwa na muda wa kutosha kufanya maandalio ya masomo kutokana na kutingwa na shughuli mbalimbali pale MU. Naahidi nikimaliza mitihani nitakuja na mada ya kuweka ungo bila jasho. Muwe tayari. Ila mniahidi kwa na ninyi mkipata elimu hii muwape pia wengine wenye kuihitaji bure au muwaambie ni wapi mliipata.



Ahsante sana mkuu kwa elimu utakayo tupa MUNGU akutie nguvu umalize mitiani yako vizuri
 
mkuu arselona pepa unategemea kumaliza lini, mana nasubiri hilo darasa kwa hamu ili na mie nipate utaalamu wa kufunga dish na ku track satellite mana mafundi wananikamua sana hela afu ujuzi hakuachii ili kesho umwite tena ukitaka kucheki satellite tofauti. mitihani mema
 
kama ningekuwa na uhakika kuwa inaweza edit biss keys na kama ww ni mpenzi wa boli ningekushauri uliset kwa arabsat 5c. Aidha unaweza weka nilesat201/7WA @7degr west.

Kaka boli ndo ugonjwa wangu Nimeweka sat ya Nilesta 201/7WA @7 E. Napata chanel karibu 300, asante sana idumu JF.
 
Kaka boli ndo ugonjwa wangu Nimeweka sat ya Nilesta 201/7WA @7 E. Napata chanel karibu 300, asante sana idumu JF.

Furaha yangu ni kuona uwepo wangu duniani unawapa wengine furaha wanayostahili. vanpersie, mi ntamaliza mitihani yangu Ijumaa ya wiki ijayo.
 
Last edited by a moderator:
Wapi niliposema chanel 300 zinaonesha ligi?
nafikiri hujanielewa nakuuliza katika hizo chanel 300 alau kuna ligi yeyote ya europ inapatikana manaake umesema kua boli ndo ugonjwa wako nafikiri itakua hapo umenielewa
 
wadau nina receiver ya media com
kuna mwanangu kaweka passord na
sijui ni ipi kwa hyo nashindwa
kutumia remote naombeni msaada
wenu nini nifanye kutatua tatizo h
 
wadau nina receiver ya media com
kuna mwanangu kaweka passord na
sijui ni ipi kwa hyo nashindwa
kutumia remote naombeni msaada
wenu nini nifanye kutatua tatizo h

Kaka mediacom ziko nyingi 910,910+ au930 funguka au uni pm tusaidiane.
 
Mkuu Arselona tusaidie namna ya kuedit biss keys
 
Last edited by a moderator:
Furaha yangu ni kuona uwepo wangu duniani unawapa wengine furaha wanayostahili. vanpersie, mi ntamaliza mitihani yangu Ijumaa ya wiki ijayo.

Ndugu Arselona, na ukitaka uishi miaka mingi basi principle ni hiyo kwenye red. Kwa sababu muda mwingi watakuwa wanakuombea uwe hai na ufanikiwe ili na wao wafanikiwe kupitia wewe. Hio ndio sacrifice. Ubarikiwe kwa kuwasaidia wengine.
 
Last edited by a moderator:
ukosef wa TBC na STaR TV
umefanya niwe natzama ma Dish Ya Watu. Kuna m1 niweona katia KU band kama nchi 7 hivi Chini ya ile ya K 24 za Kenya. KAFUNGA KINONDO KWY ZILE BEAM mbili ZNAZOSHKA ZILE LNB ILI AWEZE KUIFUNGA HYO KU BAND (imelingana na ile ya za kenya)

HAPO ANAPATA NINI NA NINI?
 
Back
Top Bottom