ukosef wa TBC na STaR TV
umefanya niwe natzama ma Dish Ya Watu. Kuna m1 niweona katia KU band kama nchi 7 hivi Chini ya ile ya K 24 za Kenya. KAFUNGA KINONDO KWY ZILE BEAM mbili ZNAZOSHKA ZILE LNB ILI AWEZE KUIFUNGA HYO KU BAND (imelingana na ile ya za kenya)
HAPO ANAPATA NINI NA NINI?
mkuu hizo sat zinawekwaje hebu nipe somo tafadhaliKaka boli ndo ugonjwa wangu Nimeweka sat ya Nilesta 201/7WA @7 E. Napata chanel karibu 300, asante sana idumu JF.
bro i sent u a pm to ur inbox
kama ningekuwa na uhakika kuwa inaweza edit biss keys na kama ww ni mpenzi wa boli ningekushauri uliset kwa arabsat 5c. Aidha unaweza weka nilesat201/7WA @7degr west.
Habari wandugu.. langu moja tu, ninahitaji kupata trenet lakini ujuzi wa settings za dish na mengineyo sina kwa kweli!
Mtaalamu yeyote karibu? Nyumbani ni tabata bima.
nikiwa na dish lang la futi sita nikanunua na receiver ya mpeg4 naweza kuwa nimemalza tatzo la tbc,chanel ten na star tv pia nawwza kupata zile za movie na music??
Yaaa tutaunganisha degree36 utapata channel kama kumi ikiwepo Atn.
hapo 36° haitoathiri local chanel?
Ndo maana yake unatumia Diseq switch kuunganisha zote isitoshe hata hapo zipo local channels.
yap nielekeze vzr maana sina vipimo, niweke wapi hyo lnb nipe kwa sentimenta ngapi kutoka ile plate ilozishika hzo C na KU, ni chini au juu na ndani nita searchia Satelite gani?
NAHISI TAFANIKIWA HAPA NDUGU
Mgjd shita yako nini katika yahsat 1A. unataka tu kujua nani ameaipata au kuna lingine?
GULF BOX wadau nimehangaika kutafuta
remote ya hiyo receiver nimekosa
nimebonyeza pale kwenye zile
botton zake nikafanya auto scan
nimepata channel lakini eatv na itv
hazna sauti nimejarb kuchange
waya za jumaa left iwe right lakini
nimeshindwa inamana kama
ningekuwa na remote ninge
bonyeza audio then ninge select left
or right sasa kuna ujanja wowote
naweza fanya itv na eatv zikawa na
sauti maana remote sina
nawasilisha wadau naombeni
msaada
Mgjd shita yako nini katika yahsat 1A. unataka tu kujua nani ameaipata au kuna lingine?
Possible tu mbona.