msaada lnbf ku 68.5 nyuz swali ni chanel gani? nitazipata niki2mia mpeg4 au dongle sehemu hii ninapopat picha za kisouth
umejuaje kuwa uliyoipata ni badr5. Kama uliipata badr5 ilikuwa lazima upate pia badr6. Ungo wako uliuelekeza wapi? 2ambie unapatikana wapi.
Niliifahamu ni badr5 baada ya kuangalia channel nilizopata kwenye internet,ungo nilitega kwenye 26.0E hizo nyuzi zilipo satellite hua nazifahamu vizuri sana,nipo Shelui mka wa Singida.
Niliifahamu ni badr5 baada ya kuangalia channel nilizopata kwenye internet,ungo nilitega kwenye 26.0E hizo nyuzi zilipo satellite hua nazifahamu vizuri sana,nipo Shelui mka wa Singida.
hello Arselona. Naomba unisaidie jinsi ya kupata Amos 5 @17e kwa dish la 90cm. Mchakato wa kuzipata JSC HD channels unaendeleaje?
Dah! Una2mia kiswahili kigumu sana. Mi cjakuelewa.