msaada lnbf ku 68.5 nyuz swali ni chanel gani? nitazipata niki2mia mpeg4 au dongle sehemu hii ninapopat picha za kisouth
ukitumia dongle utapata mytv channels,tofauti na zile za dini hizi ni paytvs, iwapo utatumia mpg4 ya kawaida utaendelea kupata channels unazozipata sasa,vinginevyo ufunge na lnb ya c band utaongeza channel kibao za india kwa mpg4 including aljazeera english news