hapa c mahali pa kukopi na kupaste. Lete vi2 relevant kwa mazingira ya kwe2
View attachment 110491nani anaweza kufunga maujanja haya tuhabarishane wakuu
na2mia mediacom 910+new,dish futi 6,kwenye c-band napata itv capita eatv,ch10,star tbc kwa tabu,mozambique zote3 na iman radio,..nimefunga ku-band juu ya c band ila cjaambulia chanel yoyote naomben msaada,inafungwaje
kila rcva ina jinsi yake. Itaje ya kwako unayotaka kui2mia. Kama ni g6 ni rahc kwa haijajificha we fuata maelekezo tu kwenye monitor na rcu yako
mfanye google search engine awe rafiki yako na atakupa b**s zozote unazotaka. Niamini yeye hana upendeleo atakupatia tu.
ndio natumia G6 MKUU sasa namba zake nitazipataje
Naitaji kkupata Yahsat 1A at 52.5°E ninunue dish la aina gani, receicer nayo yaa aina gani na yenye ku surpot 3g na hdm cable, na pia lnb yake, location ni moshi msaada wenu tafadhali
hapa cc vumbi tu, ukifuatilia nyayo tunatembea na fagio au co cds? Hapa ni sayansi na tekno tu, ni mbinu za kuwinda tu na c kuiba. Amini amini nawaambie uzi huu na ule wa mkubwa kungu1 hazita pitwa na wakati mpaka kufungwa kwa JF(sitaki itokee JF ipotee kama RDI mpendwa we2). Arselona akipotea leo Mavella Dima.com Kibukila tusichoke na wengine kibao wanasongesha. FTA na idumu. Bwan cds chaneli ulizozitaja zipo kwenye intelsat 20 cband beam. Cna uhakika sana kama zote bado ziko fta. Tembelea flysat.com> sat list>intelsat20 na utapata list ya chnls na tps/srs