Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

mech za leo na vituo vitakazoonesh
14:45 crystal palac vs man united live on irib verzesh
17:00 stoke city vs man city live on mbc3,oromiya,irib verzesh etc
19:30 everton vs chelsea live on irib verzesh

mechi ya arsenal bd sijajua km irb tv 3 wataionesha
 

nahitaji setting za ku band
 
wadau aliye wahi kutafuta thaicom sat hivi waya unageukia wapi na kile kidude cha ndani ya c band unaweka au hauweki nataka nipate press tv msaada tafadhari
 
wadau aliye wahi kutafuta thaicom sat hivi waya unageukia wapi na kile kidude cha ndani ya c band unaweka au hauweki nataka nipate press tv msaada tafadhari

kujua kama unaweka neflon au lah tembelea flysat.com, tafuta thaicom na utaona herufi R/L baada ya tp. Ukiona herufi hizo basi utatakiwa kuweka neflon lah hutakiwi kuweka.
 
hawa wachina wanaotengeneza hizi receiver za wiztech watanimalizia account leo katika harakati za kutafuta thaicom imekufa na haina hata miezi mitatu kabla ya wiztech nyingine kunifia itabidi mnishauri ninunue receiver gani?
 
niambie unataka ipi kati ya hizo. Strong srt4922 na 4950H. Asikudanganye m2 hizi ni zaidi ya rcva. Nikipata nafac nitaandaka kwa nn napenda rcva za strong kuliko nyingine kama wiztech, astrovox azsky g6( na ndugu zake)
 
niambie unataka ipi kati ya hizo. Strong srt4922 na 4950H. Asikudanganye m2 hizi ni zaidi ya rcva. Nikipata nafac nitaandaka kwa nn napenda rcva za strong kuliko nyingine kama wiztech, astrovox azsky g6( na ndugu zake)


bro sh ngap unauza strong srt4922 je inaweza kuhack dstv na jsc channel
 
bro sh ngap unauza strong srt4922 je inaweza kuhack dstv na jsc channel

KKaka juan david swali hali ni gumu kidogo kupata majibu kwani kufungua tvs za kulipia bila malipo ni kosa la jinai. hakuna tafauti na kuiba, ni sawa tu na kucopy kazi wasanii bila ridhaa yao hata kama umeikuta kwenye social networks. Kwa maneno mengine binafsi sitaki kushiriki kwa namno yoyote katika suala hilo. Toka mwanzo kabisa uzi huu umewekwa mahususi kwa ajili ya FTA. Kwa hiyo nasisitiza tufuate taratibu zate za aliyeanzinsha uzi uhu.
 
Last edited by a moderator:

bro nimekupata sasa bei yak sh ngap
 
Last edited by a moderator:

Hapo kuna satellite tatu labda uliyoambiwa ni nilesat 201 ambayo kutegemeana na ulipo unaweza kutumia hiyo ft 4 au hata ft 3, inazo channel za kutosha za free ,pia kuna nilesat 101 na eutasat 7 bt hizi mbili uwe na dish kubwa ft 6 na kuendelea
 
Nina dish ya fut sita lnb ya ku fuji ya high gain na receirer ya astrovox hd nimejitahd sana kuitafuta nilesat imegoma kabisa ila ile eutelsat 7 yenye zimbo tv na mbc1 nimeipata,shida yangu niipate nilesat kwaaajil ya action movies na akina fox movies
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…