Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamaanisha nini recva maalum.Na labda nikinunua hiyo Mpeg 4 nikaendelea kutumia harafu kama nahitaji hizo za ziada baadae ninampango wakwenda moro ila ni mwez wa 6 mwakan nikamtafuta akaniongezea mautundu hayo.Mi nipo Biharamulo Kagera.
kupata chaneli hizo unahitaji rcva maalumu.
srt4922A kilo 2.5 na srt4950 kilo 2.2
srt4922A kilo 2.5 na srt4950 kilo 2.2
True kaka,nashukuru umenikumbusha hilo na ili uwe huru kwa sasa kupata fta,rcva maalumu ni muhimu
vip g6? n kwanin hao strong wanakuwa na matoleo mengi hvyo mi hcho ndo nischokipenda kwa strong wanaleta confusion na matoleo yao mengi. ni uzur upi wa strong dhid ya g61
kwa m2miaji wa kawaida hawezi ona tofauti lakini kwa advanced user ataipenda. Ukitoa account g6 ni ya kawaida kabisa. Specs zake hazitii mguu kwa srt4922/4950
12722 v 26657
Sasa kaka kwa sisi tunaoishi kwa kutumia sola namaanisha ambako 3g nitatizo ilitupate chanel nyingi kwakutumia C na KU - BAND LNB recver gan zinatufaa ili kupata chanel kama Q tv,Kbc nanyingine?