Charles kikoti
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 461
- 120
Startv wamebadili wanatumia 11139v30000
Vipi inf dice amc na nyingine nazenyewe zilikata au zilibadili frequency kaka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Startv wamebadili wanatumia 11139v30000
Vipi inf dice amc na nyingine nazenyewe zilikata au zilibadili frequency kaka?
naomba freq kwa Arabsat nitafute saiv
Rudi nyuma utaziona anza 105-112
nimeziona ngoja nitafute...vp pale kwenye lnb freq 9750-10600 coz sina uzoef sana na c band
Hbr
Earphone
Charles anaweza akuelekeze. Aweza kuwa mwalimu nzuri kwako.Charles kajarbu kafanikiwa nifaraja sana.Kwako Charles msaaidie Earphone naye msaidie mwingine.
Haina mbaya mkuu,hata za continental zinantosha,shukran
Bahati mbaya zile za star TV zimekata ikanilazimu niludishe dishi. Kuna tamthilia naifuatilia kupitia star TV na capital TV.
Hata mimi kwangu nilikuwa napata channel zote za continental kupitia dish dogo na rcv ya mpeg4 lakini naona zimekata inanibidi nirudishe dishi kubwa maana tamthilia ndo ugonjwa wangu.
Nimeifanya kazi ulionipa au sio bro. Sasa bado za Azam nipe mwanga.Zipo tatzo ukizianika hapa wana kata au wana hama.
Zipo tatzo ukizianika hapa wana kata au wana hama.
????DsTV ndo mpango mzima
[h=4]http://jamiiforums.com/qiE4k[/h]
kwa hiyo mkuu ndanda masasi hata kwenye 11139v30000 continental wameshahama?
Sawa wamerudi pale lkn channel zina scratch sana!continental tena wamerudisha freq ya zamani.kwa wale wa amos5 10973 v 30000 blindscan and enjoy. vilevile hapohapo amos5 kuna chanel mpya ya wasabato morningstar tv 12418 v 30000 blindscan and relax