Ulimwengu wa FTA Satellite TVs


Best umenipa somo moja tamu ile mbaya hakika am enjoy be bless
 
Nimependa hayo maujuz uliyonayo mi naomba unipe maelekezo ya kuipata amos 5 kama itawezekana naomba na picha kabisa.
 

kama ungekuwa na picha ingekuwa vizuri zaidi, kazi nzuri.
 
Hiyo arabsat utaifunga vipi hapo? nadhani arabsat 5c?.

mbona haukuuliza izo nyingine zinafungwa wapi.?

apo zilipo fungwa izo nyingine basi arabsat5c nayo inafungwa kwa chini.
 
mbona haukuuliza izo nyingine zinafungwa wapi.?

apo zilipo fungwa izo nyingine basi arabsat5c nayo inafungwa kwa chini.

Mimi mwenyewe nilikuwa napata arabsat 5c baadae nikaamia paksat 1R kwa ajili ya Ptv!juzi nimerudi tena Arbsat 5c ili niunge na Astra 2F nimeshindwa sijui nakosea nini?
 
Mimi mwenyewe nilikuwa napata arabsat 5c baadae nikaamia paksat 1R kwa ajili ya Ptv!juzi nimerudi tena Arbsat 5c ili niunge na Astra 2F nimeshindwa sijui nakosea nini?

sio kila eneo io setting inakubali, wengine inakataa ila ni simple sana 0765 42 99 14 nicheki wasapu nikusaidie.
 
Wataalamu hebu niwekeni sawa kuhusu hili; king'amuz changu cha Azam kimepata shot na kupoteza signal, so nilichofanya nmepachika receiver ya Mediacom ya Dvb-mpeg2 katka dish la azam na kuedit sat ya Amos 7e na kisha nikaingiza freq. 12015V29950 Kisha nikascan nakupata channelz 43, congo tv, crt, rt, france24, cctv na wenzake. Ila hakuna ya kibongo hata moja au kenya, so naomba kujua kama kuna ujuz wa kupata za kibongo/kenya. Nb. Sas nmepata maujanja ya namna ya kuangalia zuku bila kulipia, na unapata channelz karibu 150 free. N pm ntakujuza
 

Hujaweka amos17 mkuu upo hapo hapo 7b .hiyo tp umechanganya mambo mkuu tena umechanganya balaa.yaani umeidit kwa kingamuz na wala hujacheza na dish.???!
 

mkuu nipe hayo maujanja
 

Hizo channel ni za satellite zingine ambazo zipo karibu na hiyo 7e ambazo ni astra 1E/4A @4.8 na ses5 @ 5e kupata za kibongo package ya c*nt*nent*l kwenye amos5 @17e unatakiwa kuzungusha dish kidogo kulia na juu kidogo kama umesimama nyuma ya dish unaweza tumia hii transponder 12418V30000 ya ATN kutafutia
 
Nauza H-H dish motor motor Tsh 320,000 receiver HD Studio mpeg4, Tsh 200,000 vyote bado vipo kwenye hali nzuri napata chanels kuanzia 76e hadi 7w fta na scrambled zaidi ya 3000 anayehitaji tuwasiliane
 
Nauza H-H dish motor motor Tsh 320,000 receiver HD Studio mpeg4, Tsh 200,000 vyote bado vipo kwenye hali nzuri napata chanels kuanzia 76e hadi 7w fta na scrambled zaidi ya 3000 anayehitaji tuwasiliane

Motor picha yake ni hiyo
 

Attachments

  • 1435487710006.jpg
    82.8 KB · Views: 585
Can I nab Eutelsat 7 West A @ 7.3W using 135cm offset? Location Dar es salaam
 
Jamani hembu nisaidien nimeona mtu mwenye azam anaangalia chnel za continental bure msaaada jmn
 
Kila niki jaribu kifunga dish la azm linakubali lakin signal inacheza haiko stable anaejua tatizo anicheki 0654249906
 
Wadau naomba kuuliza hv zile irib tvs zinapatikana tena kweli?kwan kwangu zinaandika no signal na je kuna channel nyingine za mpira kwa dish la ft 6 nalingine la dstv pamoja na receiver ya mpg4??msaada jaman wadau
 
Wadau naomba kuuliza hv zile irib tvs zinapatikana tena kweli?kwan kwangu zinaandika no signal na je kuna channel nyingine za mpira kwa dish la ft 6 nalingine la dstv pamoja na receiver ya mpg4??msaada jaman wadau

Jaribu kufuatilia kwenye Badr 26E 11881 h 27500 kwani afrika magharibi wanazipata hapo! Kwa hapa bongo sina uhakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…