Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Mimi sijui kama continental wanafanya makusudi au vipi,maana ni kweli chaneli zao kuna wakati zinastream fresh ila muda mwingi zinastua stua hadi zinaboa..kama unatumia Strong SRT 4950H utagundua hilo na Wiztech ndio kabisaaa hadi sauti inakwama..Cha ajabu risiva nyingi za kichina hazikati kati..
 

Mi natumia amiko mini hd se napata tatizo hilohilo
 
Mi natumia amiko mini hd se napata tatizo hilohilo

Yeah..
Nimetumia azsky,qsat na satxtreme hazina tatizo hilo..
ila strong,wiztech na mediacom zinalo..
yaani zile risiva zenye bei kubwa ndio zinazosumbua..
mi hata sielewi kwa kweli..
 
Yeah..
Nimetumia azsky,qsat na satxtreme hazina tatizo hilo..
ila strong,wiztech na mediacom zinalo..
yaani zile risiva zenye bei kubwa ndio zinazosumbua..
mi hata sielewi kwa kweli..

nani alikudanganya kuwa str decoda zinakata sauti ktk package ya continental?labda iwe imetengenezwa tandahimba.na msilinganishe str na wiztech
 
Msaada jamani. Kama kuna mtu yeyote hapa Tanzania amebahatika kupata chaneli za Arabsat 5A 30.5 East (ERITV2) anijuze.
 
msaada jamani. Kama kuna mtu yeyote hapa tanzania amebahatika kupata chaneli za arabsat 5a 30.5 east (eritv2) anijuze.

mkuu tafuta ft 8 utaitia mjengoni bila tatizo.ila kama una str 4922 tafuta nss 12 upate sport 24 chanel ambayo epl ,laliga,b liga ni bandika bandua kama super sport 5
 
mkuu tafuta ft 8 utaitia mjengoni bila tatizo.ila kama una str 4922 tafuta nss 12 upate sport 24 chanel ambayo epl ,laliga,b liga ni bandika bandua kama super sport 5

Ahsante sana kiongozi.
Lakini unaweza kunisaidia pia uelekeo wa dishi hilo ili kupata arabsat 5A 30.5 East?
Na nawezaje kupata hiyo decoder ya str na ni kwa bei gani?
 
kwa nn usinunue dukani

Maduka niliyopita yapo ya 135cm steel haya kwenye mota yangu inazidiwa kidogo so natafuta la aluminium kama nitapata au hilo la steel lakini liwe dogo kidogo kama 110cm hv. Nilipita baadhi ya maeneo kwenye nyumba za watu nayaona ila inaonekana ni ya zamani sidhani kama cku hzi wanaleta ndyo maana kama kuna mtu analo hilo la zamani kama linanifaa tunaweza hata kunadilishana na langu la 135cm steel kutokana na makubaliano au aniuzie kabisa. Au kuna duka unafahamu yapo
 

mkuu samahani labda nikuulize hilo dish unahitaji ufunge sat zipi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…