MEING'ATI
JF-Expert Member
- Feb 17, 2014
- 1,212
- 1,012
Hakuna hio. LipiaUnielekeze na mm jinsi ya kuangalia channel za zuku bila malipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna hio. LipiaUnielekeze na mm jinsi ya kuangalia channel za zuku bila malipo
...Hv na azam inaezekana kupata free channel wadau
Zipo kwenye other channels zipo by defaultHv na azam inaezekana kupata free channel wadau
...Zipo kwenye other channels zipo by default
...Mbo
Mbona amos 5 satellite ipo na ndo naitumia Napata FTA channel za continental, azam, ting na nk
Kati ya visimbuzi hivi azam,ting continental na star times kipi kiko vizuri kitumia kwa FTA?Zipo kwenye other channels zipo by default
continentalKati ya visimbuzi hivi azam,ting continental na star times kipi kiko vizuri kitumia kwa FTA?
free to air ni mfumo wa kupata channel bure bila kulipiaSamahani FTA ni nin naomba kujuzwa
azam in ses5 mhhMbo
Mbona amos 5 satellite ipo na ndo naitumia Napata FTA channel za continental, azam, ting na nk
Inahitaji fundi maalumu au yeyote? Au mpaka kifanyiwe programu ya kompyuta nataka ninunue?continental
Fundi na frequency zakeInahitaji fundi maalumu au yeyote? Au mpaka kifanyiwe programu ya kompyuta nataka ninunue?
Yes kama imefungwa ili iwe FTA nijulisheFundi na frequency zake
Program gan ni unlock biss
Free To Air channels, (chaneli za bure)Samahani FTA ni nin naomba kujuzwa
Hivi receiver gani nzuri kwa FTA ya mp4 na bei yake?Hallo, naomba muongozo namna yA kufungua DVB T2, zinazotumia miiba ya Samaki. Je ntapata channels ngapi na Zipi ambazo zinapatikana free on air? Msaada plz. Nawasilisha.
free to air chanelSamahani FTA ni nin naomba kujuzwa