Mavella
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 459
- 76
ni sh ngap hlo dish la cm 90
kuanzia 50,000 mpaka 70,000 hakikisha ni cm90
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni sh ngap hlo dish la cm 90
kuanzia 50,000 mpaka 70,000 hakikisha ni cm90
kwa wenye nafas kifedha srt 4940 mpeg4 hd yenye card ya mytv africa na 4930 mpeg4 hd zinapatikana kwa tsh 300000 na 350000 respectively. respectively.
viper ukitaka epl kwa machi muhimu unatakiwa uwe na prime focus dish(ungo wa cband) wa futi 8 na recever ambayo inaweza kuedit biss keys(nafikiri hata meiacom 910 new inaweza kuedit biss keys). ungo unatakiwa kuelekezwa paksat 38 degrees east. nitaweza posti biss keys http://facebook.com/remigius.albert ikufakionekana kuna haja ya kufanya hivyo.
Yeah,nimenunua str 4930 MPEG4 HD kwa Levi,ni toleo la Feb 2012,tatizo ni kwamba je ni Genuine? Hata hvy inafanya kazi vizuri,swali langu je mytv card itakubali humu bila ku update?
cna uhakika kama ar600 ina key edit. Tembelea hapa kupata keys donglesat.com/biss.htm
arselona hv nnaweza kupata chanel za satelite ya astra 1/2/3/4/ 28.5E kupitia arisat ar600
<br /><span style="font-family: verdana"><font color="#008000"><font size="4">DSAT LTD accredited installer</font></font></span><br />
<br />
<span style="font-family: arial black"> <br />
</span><br />
<span style="font-family: arial black"><b>Email Address:</b> </span><span style="font-family: arial black"><font color="#008000">fluvies@gmail.com</font></span><br />
<b>Phone #: </b>+255656206129<br />
<b>Fax #: </b>+255-022-206145<br />
<b>Other Phone #: </b>+255- <font color="#000080">0656206129</font><br />
<b>Other Phone #: </b>+255-<font color="#000080">0654405727</font><br />
<b>Area:</b> Dar Es Salaam <br />
<br />
<b>Website: </b><a href="http://WWW.DSAT.co.tz" target="_blank">WWW.DSAT.co.tz</a><br />
<br />
<font color="#0000cd"> <br />
</font><br />
<b><font size="3"><font color="#0000cd">DSAT LTD accredited installer</font></font>: </b>We are the leading Tanzanian Company in importing, distributing, installing and maintenance of satelite tv dish, cctv camera installation & solarpannel installation in Tanzania and East Africa. On our effort to satisfy today's complex operational needs, we serve our customers in three interdependent areas of communication market: distribution of communications technology and services, systems integration and public operating service. We are fully dedicated to providing products, systems and services and specialized satelite communication, security systemsas well as electrical installation . We have a wide range of customers, including industrial, commercial,hospital, hotels, logy, offices,intitutions, apartimens and transportation companies and utilities.
Naomba msaada wapi nitapata diseqc za njia nane (8 port Diseqc Switch).Kuna ambazo nilizipata Kariakoo ila baadae ziliisha pale dukani.
Kwa nini usitafute motor kuliko zigo lote la Diseqc ya njia nane!...then kwa kupata hiyo umekusudia kupata satelite ngapi?
Hapa zipo satellite 2,na tofauti ya longitude degree ni 1 tu, je naweza kupata zote kwa lnb moja? Au nitakuwa sipat signal bora?pima kutoka juu kwenda chin (heigh diameter) ikupe 90cm
Motor inafaa kama unashika channel za C Band peke yake.Kwa sasa nashika satellite sita zifuatazo Intelsat 906,Intelsat 20 C na KU,NSS 12,Amos5,Eutelsat 16A,na Eutelsat 7A.