Perfect...!!!!Usiyaumbe maisha kwa kutumia njia ambazo ziko nje ya akili yako uliyopewa na Mungu, na logic yako. Kwa mfano, kinachosababisha Profesa msomi aende kwa mganga wa kienyeji ni pale anapoona elimu yake kubwa aliyonayo inakumbana na kitu ambacho hakina logic, lakini kinafanya kazi, tofauti na uelewa wake ulivyo na elimu yake. Ni pale kwa mfano anaposhuhudia jiwe kubwa la tani zaidi ya 100 ambalo grader haiwezi kulisogeza hata nchi moja, linachezeshwa kwa kidole cha binadamu baada ya kuwa limetamkiwa maneno. Sasa Profesa hapa lazima ajiulize, tangu lini jiwe likasikia maneno ya mtu!
Umewaza kimikakati sana,je Kuna watu wameandikiwa pepo na wengine jehanamu?Hawa wa jehanamu hawawezii kufanya Toba ya dhati na kubadilisha uwelekeo.laabda mshana uniambie kila mtu kaumbiwa rizik yake toka anazaliwa.kuna watu fukara Ila wataishi kupitia wengine,tajiri amewekwa Kama daraja wengine wa piteKama uyasemayo ni kweli basi mafundisho yoyote yanayo amini ktk hukumu ya mwisho si yakweli....[emoji41]
Kama tangu kuzaliwa ramani yako ya maisha imechorwa na huwezi badili lolote ktk ulimwengu wa roho, kwa nini kuwe na hukumu???
Najaribu kuwaza tu!
Yeah kuna madaraja tangu kutungwa mimba mpaka kifo na hii sometimes inatokana na laana za ukoo ambazo huenda mpaka vizazi vinne...Umewaza kimikakati sana,je Kuna watu wameandikiwa pepo na wengine jehanamu?Hawa wa jehanamu hawawezii kufanya Toba ya dhati na kubadilisha uwelekeo.laabda mshana uniambie kila mtu kaumbiwa rizik yake toka anazaliwa.kuna watu fukara Ila wataishi kupitia wengine,tajiri amewekwa Kama daraja wengine wa pite
Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
Roho ndio uhai mwili ni jumba tu liharibikalo kwahiyo kama kuna kitu kinaona basi ni rohoje ukiishia jehanamu is it natural mistakes ya mchoro au ya kwako muenda zake kuna zile mastory eti roho ikitoka inakaa pembeni so unakua unasikia na kuona kila kitu kama movie vile mpaka ukifukiwa kwenye original yako udongo ndio unakata maruerue roho inatokomea. @mshanajr
Kuna siku nili comment post yako,nikakwambia hili eneo ndo spesfication yako.maandiko yako yananguvu mkuu.big up.fanya mpango tengeneza kitabu kwa maandiko ya dizaini hizi.nadhani itakuwa vyema.Hauna makosa! Hauna mawaa kwa kizungu tunaweza kusema no errors no faults. ...najua utasema kuwa Mungu kasema hakuna mkamilifu!
Kumbuka kasema hakuna mkamilifu la hata mmoja akimaanisha mwanadamu sio roho. Makosa ya kiutendaji,makosa binafsi, makosa ya kukusudia na kutokusudia , habari za bahati mbaya na maneno kama heri ningejua....! Haya yote si ya kiroho ni ya kimwili
Ukisoma habari za jicho la tatu, machale ,ndoto taarifa ufunuo na maono unaona kwa usahihi kabisa ulimwengu wa roho ulivyotutangulia kufahamu yajayo kabla ya nafsi zetu kupata taarifa rasmi
Kila tukio liko preplanned. Hakuna bahati mbaya, ni limitations za ufahamu tu wa kibinadamu ndio umezuiwa kuona haya
Maisha yako na yangu yako kwenye mchoro kamili tangu kuzaliwa mpaka kufa...........
Utazaliwa lini na nani utapitia nini na wapi utakutana na nani! Utakuwa nani, utafanya nini, utaanguka wapi na kusimama wapi! Yote haya hayatokei kwa bahati mbaya
Jee huu ni ubaguzi?
Kwamba mmoja tangu kuzaliwa mpaka kufa yeye ni mafanikio tu?
Kwamba tangu kuzaliwa mpaka kufa ni yeye na matatizo matatizo na yeye?
Kwamba wengine husimama na kushamiri kisha huanguka na kupotea kabisa?
Kwamba wengine hukulia kwenye shida nyingi na matatizo lakini huja kutoboa na kutoka kimaisha?
Ulimwengu wa roho hauyumbishwi...formula zake ziko kama zilivyo michoro yake ni kamili na kamilifu unapojaribu kuisahihisha na ishu za waganga nyota na ngekewa unajitafutia dhahama usiyoiweza
Utafanikiwa kwa kipindi tu lakini asili itakurudisha kwenye shina lako kiroho..pale ulipotakiwa kuwa na hapo ni sawa na kujaribu kunyoosha bati lililopinda na kupondeka
Ulimwengu wa roho hauna modifications! Ishi maisha yako ukijibidiisha na ufanyayo katika mstari sahihi...usijaribu kutoka nje ya mstari kwa kuchanganya ya rohoni na ya kidunia ...hutafika mbali
[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1752][emoji1752]Kuna siku nili comment post yako,nikakwambia hili eneo ndo spesfication yako.maandiko yako yananguvu mkuu.big up.fanya mpango tengeneza kitabu kwa maandiko ya dizaini hizi.utaponya wengi lakini utapata kitu si haba.
Huko sabatoni na kwingineko wengi tumeambiwa hivi ''Ukifa subiri kufufuliwa siku ya hukumu tu!! hapo sasa ni ama uende motoni au uende mbinguni!!! kutegemea na matendo yako!!Kuna watu wanaamini ukifa unazaliwa mara nyingine tena..unaweza kuzaliwa mtu yuleyule na sura ileile au kiumbe kingine. Wanadai maisha uliyoishi ndo ukifa subiri Hukumuyana-determine next life utazaliwa katika mazingira gani. Hili nimelisikia siku nyingi ila sijawahi kulitilia maanani maana mimi kwa imani yangu mtu akifa ndo mwisho wake anasubiria hukumu ni either uzima wa milele au moto wa milele lakini naona kadri siku zinavyoenda natamani kujua zaidi kuhusu hili..hii imekaaje mshana jr
Huko sabatoni na kwingineko wengi tumeambiwa hivi ''Ukifa subiri kufufuliwa siku ya hukumu tu!! hapo sasa ni ama uende motoni au uende mbinguni!!! kutegemea na matendo yako!!
Science of incarnation Wao ni tofauti inasema utaishi upya sehemu tofauti na hapo ulipozaliwa na mawazo mapya!!! km mtoto Mbugua alishawahi kuishi, akafa tena anaishi upya!!
Ahsante.Anachosema mshana jr ni kweli kulingana na bible. Biblia imeelezea predestination/kukusudiwa kimbele. Ndio maana Mungu alisema shukuruni kwa kila jambo. Liwe jema au baya tushukuru tu kwa sababu yeye ndiye kila kitu.
Ukitaka kuangalia pre destination kwenye Maisha yako chunguza hili. Ulipokuwa mtoto mdogo wakati ukikua uliwa na kupanga mambo mengi nanpengine kufikiria ungekuwa nani baadaye. Ungeoa mke yupi, watoto fulani, nyumba fulani etc.
Lakini leo almost mambo sivyo yalivyo salaaleh! Mahali ulipo hukuwahi kupawazia, status uliyonayo hukuwahi kuifikiria kabla, mke, watoto, mali na maisha kwa ujumla siyo yale uliyowazia zamani. Hii inaashiria nini??? PREDESTINATION.
Tangu unakuja Duniani ulishapangiwa njia ya kupita na huwezi kuikwepa. Hapa chini ni mfano wa pre destination unaoongelewa na Biblia:
Waefeso 1:3-5
[3]Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani yake Kristo;
[4]kama vile alivyotuchagua katika yeye kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, ili tuwe watakatifu, watu wasio na hatia mbele zake katika pendo.
[5]Kwa kuwa alitangulia kutuchagua, ili tufanywe wanawe kwa njia ya Yesu Kristo, sawasawa na uradhi wa mapenzi yake.
Kwa hiyo ukijiona ni mkristo leo hujifanyi hivyo, bali ulishakusudiwa hilo tangu kuwekwa misingi ya ulimwengu. Maana yake alikujua na kukuchangua kimbele ili uwe hivyo. Kwakuwa anajua mwisho kabla ya mwanzo ndio maana alikuwekea njia ya wewe kufikia kile alichokukusudia. Hilo ni kweli kabisa
Nielewavyo mimi, injini ya uhai ni Roho na injini ya matendo, hisia, kumbukumbu, tabia na kadhalika ni NAFSI, mwili ni sehemu ambayo Roho na NAFSI ndo makao yake, MOYO ni utashi
Nipo tayari kukosolewa, nimeeleza navyoelewa mimi
Ni pump lakini pia ni chaji ya kuwezesha pump...kuipa nishati ya kufanya kaziMoyo ni pampu ya kusukuma damu
Dunia lukumbalukumba!!Vyovyote iwavyo Khantwe wote tunazaliwa mara ya pili
Ufafanuzi wake huu hapa
Kwa sisi waamini wa Mungu mmoja tukifa tunaenda ama jehanam peponi(rebirth) ama kusubiri kiama (nitakufafanulia )
Na wenzetu waabudu miungu waamini katika hilo unalotaka kujua( reincarnation
Naomba upitie mada hii rebirth na reincarnation ni kitu kilekile nitakutag pia
Hizi ishu hizi kama ugonjwa hakupewa na mganga mwenyewe basi mganga alizifahamu codes za kutengua uchawi husikaDunia lukumbalukumba!!
Kuna mwl alikuja kuripoti kazin akiwa mgonjw amechiz kam karogwa hivi, aliletwa kuripoti na mamaake,
Alikuw vby sn, kanisan wakahangaik sana bila mafanikio.
Akaenda kuponea kwa mgang wa kienyeji,
SAS hivi yupo vzr hadi kamjengea mamaake nyumba.
Hilo unasemaje?
Mshana Jr
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Uko kwenye hatua nzuri ya mafanikio.. HUTAKUFA MASIKINI na utakuwa mtu kati ya watu.. Kikubwa focus na usikate tamaa umri bado unaruhusu.. Nakuombea..!MMnatuchanganya tu!!!hebu tumia jicho lako la tatu kuniambia Maisha yangu ni yapi hasa!!nimepambana Sana mimi huko mashuleni!!hebu niambie mshanar mi ni risk taker Sana!nisije ingia Hata ile kampuni ya mason!!