Ulimwengu wa roho ni timilifu

Shida kubwa inayotufanya tusiujue sana umuhimu wa ulimwengu wa roho ni kwa sababu viongozi wetu wanao simama kila jumapili kutufundisha wametokana na KOROSAI 2:8 , badala na kutokana na KUMBUKUMBU 18:18-25. MUNGU BABA ameficha sirini mambo mengi ktk biblia na huwaonyesha wale tu wanao hubiri kwa kutumia KUMBU 18:18-25_lakini wanaotokana na korosai 2:8 hawaonyeshi siri zilizomo ndani ya biblia soma Wakorintho wa kwanza 2:6-10. Kiongozi wa kiroho lazima kila siku asikilize sauti ya MUNGU BABA inatoa maagizo gani kwa siku hiyo na siyo kusema uliyojipangia wewe kwa elimu yako ya dunia na kutunga litujia yako ya mwaka mzima. Soma KUMBU 28:1
 
Kama tungekuwa tunajuwa maisha ya mbele nadhani tungeacha hata kusoma, wakati unajuwa kabisa siku ya siku unakuwa jobless
 


Post sent using JamiiForums mobile app
 

 
Asante..Ramani ya maisha
 
Sio mkuu! Pamoja na kwamba unapitia njia iliyochorwa, njia hiyo uliiandika/uliichora mwenyewe wakati ule roho zote zilipohudhurishwa kwa Muumba. Kwa lugha rahisi, huo mchoro uliudizaini na kuuchora mwenyewe. Sasa unatembea kwenye njia uloijenga kwa mikono yako.
 
Mwee sasa kama mimi ni kizazi cha Tatu au Nne ndio nivumilie kuishi katika laana hizo kaka yangu?

Mkuu laana vjicho hasad zote zinaondoka na wewe ukabaki salama na kizazi chako kama utakuwa mtu wa maombi na kutoa sadaka.

Sadaka zina masharti sio vitu vya kubakia au visivotosha.
Sadaka inanuiliwa wakati wa kuitoa ili ifike sehemu sahihi.

Sadaka inatengeneza mfumo mzima wa maisha yako nakizazi chako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…