Ulimwengu wa Roho nini? Uko wapi?


Nfi ulimwengu wa roho upo mpaka kuuelewa ni lazima uingie uko ambao nao umegawanyika katika sehemu mbili kama wachangiaji walio pita wameeleza kua ni ule wa nuru na wagiza zipo njia nyingi za kuingia uko ila inategemea ni aina gani ya ulimwengu wa roho mfano wapo watu umu wanafundisha namna ya kutoka nje ya mwili soma huko na ujaribu kuingia katika ulimwengu mchafu ila ukipenda kuingia katika ulimwengu wa roho wa nuru liitie jina la Yesu mwamini nawe utaingia uko
 
Ahsante kwa maelezo yako mkuu lkn nina swali hivi nafsi na roho ni kitu kimoja hichi kitu huwa nashindwa kuelewa.
 
watu wadini mmeshindwa kumjibu mtu huyu? tuwaeleweje na hizo imani zenu..?
Hatujashindwa kumjibu. Tunaogopa mpu..uzi mmoja humu anaitwa MGEN huwa akikashfu uislam huwa anatoa picha watu wameinama msikitini kisha mwanaume mwingine anaonekana anamwingilia mwanaume mwenzie anayeswali humo msikitini.
Kiukweli ukiitazama vizuri hiyo picha inaonekana imepachikwa yaani huyo anayeonekana yuko nyuma mata.koni kwa mwenzie si halisi na wala haina uhusiano na mahala hapo. Sasa kwa upuuzi wa aina hiyo mjadala hauwezi kunoga maana kunakuwa na maneno ya uongo.
Isitoshe maandiko ya uongo kusingizia ni biblia au Quran ni kero sana JF.
Kama mtu ameshindwa hoja kwa nini asikubali tu? Kwani ukikiri ukweli utakufa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa watakujibu vema kabisa
[HASHTAG]#mshana jr, [/HASHTAG] [HASHTAG]#divine[/HASHTAG] , [HASHTAG]#heavensent[/HASHTAG]
Ngoja waje mkuu
 
Kwa hiyohilo andiko linalosema Mungu alipomuumba mtu akampulizia pumzi linapingana na lile linalosema Mungu akikiamuru kitu kuwa basi huwa....?
Kun faya kun....!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una amini mtu anakufa???

Kama ndiyo jiulize kifo cha mtu husababishwa na nini?

Ukimkagua kila kiungo utakikuta ila mtu huyo hayupo hai tena..! Ukipata majibu ya haya maswali utakuwa umeelewa kwa asilimia 70%.
 
Unaweza kuona gari ktk ulimwengu was roho imegeuka kuwa roho

Swali je Roho ni nini?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una amini mtu anakufa???

Kama ndiyo jiulize kifo cha mtu husababishwa na nini?

Ukimkagua kila kiungo utakikuta ila mtu huyo hayupo hai tena..! Ukipata majibu ya haya maswali utakuwa umeelewa kwa asilimia 70%.
Mtu ni roho inayo kaa ndani ya nyumba Nyumba inaitwa mwili roho ikitoka ndani ya mwili ndio tunasema mtu kafa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una amini mtu anakufa???

Kama ndiyo jiulize kifo cha mtu husababishwa na nini?

Ukimkagua kila kiungo utakikuta ila mtu huyo hayupo hai tena..! Ukipata majibu ya haya maswali utakuwa umeelewa kwa asilimia 70%.
Aaaa mkuu kifo cja mtu hisababishwa na malaria na magonjwa mengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wewe hata hujajua ulimwengu wa roho ni nini ila umejaza maswali ya kuhoji huo ulimwengu wa roho,sasa kama ukijakuambiwa kuwa huo ulimwengu wa roho huwa wanamaanisha nchi ya Marekani huoni kuwa hilo rundo la maswali yako yanakuwa hayana maana?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji115]

Sent from myself
 
Ahsante kwa maelezo yako mkuu lkn nina swali hivi nafsi na roho ni kitu kimoja hichi kitu huwa nashindwa kuelewa.
Nafsi na roho si kitu kimoja, kuna vitu vitatu hapa mwili, nafsi na roho
1. Mwili ni huu tulio nao, damu na nyama na maandiko matakatifu yanasema: mwili na damu havitaurithi ufalme wa Mungu. Inamaanisha wanaoishi kimwili pamoja na kutaka kuuridhisha mwili kwa matamanio yake yote.

2. Nafsi ni kitu ambacho ndani yake kuna mkusanyiko wa vitu vingi sana pamoja na akili, hisia, hasira, furaha, upendo, uchungu, kumbukumbu, chuki nk. Ndio maana wachawi wakitaka kummaliza mtu wanadili na nafsi, ili kumfanya aharibikiee kimaisha, watashika akili zake, ufahamu wake, hisia nk.
Hawawezi kudili na roho kwa kuwa hawana uwezo nayo.

3. Sasa roho ni ile nguvu au uweza wa Mungu uliopo ndani yetu, ambao kila mtu anao ndani yake. Roho inaweza kuwa hai ndani ya mtu au inaweza kuwa imekufa ndani ya mtu. Roho IPO kati ya mwili na nafsi. Roho yako inapenda wewe umjue Mungu, umtafute, umche, umtumikie, nk. Ukiona hivyo basi ujue roho inakuhukumu ndani yako kuwa wewe ni mwenye dhambi na ivyo unamhitaji Mungu.

Mwili unapokuvuta kufanya mbambo yasiyofaa ( unapotamani) kinyume na mapenzi ya Mungu, kama roho yako ndani yako imekufa basi nafsi yako, yaani akili yako mawazo yako, dhamili yako, utashi wako nk. Vitakuwa upande wa mwili, yaani mwili pamoja na nafsi yako vitakuwa kinyume na mapenzi ya Mungu. Ila nafsi ikijaa sana mawazo ya roho basi hautafanya chochote ambacho ni kinyume na mapenzi ya Mungu.
Ila cha kuzingatia hapa ni kwamba roho niliyoizungumzia ni roho iliyo ndani ya mtu na siyo roho Mtakatifu wa Mungu anayekuja ndani ya roho zetu sisi baada ya kumpokea kristo kama bwana na mwokozi wetu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahsante sana nimeelewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…