Ulimwengu wa Roho

Nimesoma uzi wako kwa umakini, na ni uzi mzuri kadhalika. Ila ni na swali.

Nafsi ni nini ?
 
Mkuu nahitaji kua na uwezo wa kutambua yajayo mbele au kua na nguvu ya uponyaji. Ni hatua zipi nifate?

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Jitahisi kufanya meditation ndani ya astral projection utapata nguvu yoyote utakayo ihitaji ila kwa juhudi zako tu
 

Attachments

  • FB_IMG_16165291656910862.jpg
    5.6 KB · Views: 38
  • FB_IMG_16151457175855688.jpg
    22.1 KB · Views: 36
  • FB_IMG_16161818991305458.jpg
    26.7 KB · Views: 32
  • FB_IMG_16165294347466064.jpg
    9.6 KB · Views: 37
Mkuu nahitaji kua na uwezo wa kutambua yajayo mbele au kua na nguvu ya uponyaji. Ni hatua zipi nifate?

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
Jitahisi kufanya meditation ndani ya astral projection utapata nguvu yoyote utakayo ihitaji ila kwa juhudi zako tu
Attachments
FB_IMG_16165291656910862.jpg
File size36.6 KB
Views0
FB_IMG_16151457175855688.jpg
File size139.8 KB
Views0
FB_IMG_16161818991305458.jpg
File size180.3 KB
Views0
FB_IMG_16165294347466064.jpg
 
Wewe unaeleweka,
Lakini mleta mda anaposema Ulimwengu wa roho ni sehemu ya kwenda kukutana na marafiki, familia mala vitu vizuri kama magari hapo ndipo matango pori yamejaa.
 
Hebu elezea hayo maneno kwa kiswali tuelewe, mimi nianze kuchota hizo nguvu fasta
 

Attachments

  • FB_IMG_16165387129891507.jpg
    37.3 KB · Views: 35
  • FB_IMG_16165291656910862.jpg
    5.6 KB · Views: 35
  • FB_IMG_16161818991305458.jpg
    26.7 KB · Views: 27
  • FB_IMG_16161810841082184.jpg
    20 KB · Views: 25
  • FB_IMG_16151457175855688.jpg
    22.1 KB · Views: 23
  • FB_IMG_16151457175855688.jpg
    22.1 KB · Views: 27
What a coincidence !!!! Hauwezi kuamini leo mishale ya saa 5 asubuhi nilikuwa na waza kama hivi ulivyo waza wewe yaani umepita kule kule '

Nilikuwa nasema kifo ni kitu kizuri sio kitu kibaya Kama tunavyo aminishwa na kukarilishwa kwa sababu gani Kifo jinsi kilivyo Ni Kama Aina fulani hivi ya usingizi

Je tuulizane hapa wote kwa pamoja Kuna asiye penda usingizi !! Sidhani Kama yupo kwa sababu katika usingizi tunapokuwa tumelala huwa tunaota ndoto mbali mbali zinatovutia katika usingizi huo na Kuna Wakati huwa hatutamani Hata kuamka huwa tuna tamani Tuendelee kulala tu ili tuweze kufurahia hizo njozi na ule utamu wa usingizi binafsi' na amini Maisha halisi tunayoishi Ni pale Tunapokuwa tumelala
 
Aisee [emoji848]
 
Wewe unaeleweka,
Lakini mleta mda anaposema Ulimwengu wa roho ni sehemu ya kwenda kukutana na marafiki, familia mala vitu vizuri kama magari hapo ndipo matango pori yamejaa.
Matango pori kivipi au hauja muelewa mkuu !? Kwani katika maisha yako haujawahi kulala nakuota ukiwa unaendesha gari !?
 
Kweli aisee..roho ikiwa hai ni jambo jema sana, pia ukiwa kule hakuna 'limit' tofauti na huku ulimwengu wa mwili.
Bahati mbaya ukifa kila kitu kinasimama hadi mawazo. Nadhani ndio maana M'Mungu anatuambia tuchague kuishi, tena akatoa na 'bonus' ya kuishi milele!
 
Yaan Yesu akae sehem moja na Muhamad!! Kuwa serious bas jombaa.
 
Sijawahi kuelewa hili somo, kuna muda naona kama mathe vile esp kwenye zile topic za kikoloni, lakin huwa somtimes ni kisoma namalizia kwa kusema huenda mwandishi ni mvuta bangi au anamatatizo yakiakili....

Kiukweli kabisa...akili imekataaa...
Labda utafiti ufanyike zaidi.
 
Ungetoa muongozo wa maelezo yanayo jitosheleza jinsi ya kufanya ingekuwa vyema zaidi hizi picha zimekaa kimafumbo Sana Ni vigumu kwa watu wengine kuweza kuelewa

Ukiona hivo ujue hata yeye hajui
Uwezo wake ndo umeishia hapo.

Nguvu za kiroho zinafundishwa kwenye Biblia au Vitabu vya kichawi tu.

Ukitumia sayansi utachonga viazi.
 
Ukiona hivo ujue hata yeye hajui
Uwezo wake ndo umeishia hapo.

Nguvu za kiroho zinafundishwa kwenye Biblia au Vitabu vya kichawi tu.

Ukitumia sayansi utachonga viazi.
Hahah du bora ungesema hivyo umefanya astral projection kuliko unaongea vitu visivyokuwepo kabisa bora ukaamin mungu yupo uende usimkute kuliko usiamin uende umkute bc hili somo sitalitoa tena nitalitoa kwa watu maaluma ambao nimeanzanao nadhani mnafikiri nawapotosha kaeni hivyo hivyo
 
 

Attachments

  • FB_IMG_16166980809721540.jpg
    21.9 KB · Views: 37
Mi sijaelewa hizi aina zimetokea kutokana na aina za watu duniani au tukio la kufa likiwa kama senta ya kujua huo ulimwengu na aina zake!?? Mbona hujachambua huko wanaokufa huwepo kupoje na kwa ushahidi upi w pruv!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…