Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Na kweli ni upotoshaji kwa maana ya ulimwengu wa roho wa giza ndo una-oparate Kwenye hizi sio ule wa nuru,ila wanawadanganya watu!Hacha kupotosha watu wewe
Mapepo wengine wanasema ,mashetani,majini ni lugha tu.(ila ni Yale yenye cheo cha chini cha mwisho sbb nao wana rank zao huko)Mapepo ninini !? Na je Yana exist kweli !? Nini sababu ya uwepo wake " !? Sayansi Ina ongelea Nini kuhusu Hilo !?
Ukitaka kujua hizo siri Mungu yupo!Kwanini hii Dunia inaendeshwa kisiri siri sana?
Ukitaka kujua kazi ya mapepo, Nivizuri unge mjua mtu original wa dunia Ninani.Kwenye pseudoscience kila kitu kinaelezeka
Nijuze wewe, mapepo ni kitu ganiUkitaka kujua kazi ya mapepo, Nivizuri unge mjua mtu original wa dunia Ninani.
Hapo ndo utajua kazi ya mapepo.
Asante.Karibu ndugu!
Hakika, sayansi inashughulika na atom. Japo wanapofikia kwenye mitetemo na nguvu au vibration and energy kwa kizungu cha Uingereza hapo wanajaribu kupata muunganiko wa atom, nguvu na roho.Mapepo wengine wanasema ,mashetani,majini ni lugha tu.(ila ni Yale yenye cheo cha chini cha mwisho sbb nao wana rank zao huko)
Efeso 6:10 ukisoma hapo utapata hizo rank!
Iakini ni roho chafu,zipo zina exist!
Wajumbe wa Lucifer ndo wako assigned na kazi tofauti tofauti za kuharibu ,kuua,kuchinja.. Nk
Biblia inasema Kwenye Yohana sikumbuki ni ngapi,ndo kazi ya Lucifer na wa sharika wake ,ni kuua,kuharibu ,kuchinja.
Sayansi haiwezi kuongelea mambo ya rohoni(vitu visivyoonekana)
Amen.Ukitaka kujua hizo siri Mungu yupo!
Yeremia 33:3
Wasiojua dunia inavyoendeshwa ni ambao hawataki kuamini kuwa msingi wa hivi vinavyoonekana duniani ni vile visivyoonekana!
Lkn wa gizani wanajua sn,wana wa nuru ambao walitakiwa kujua na kutawala hawataki ,ubishi mwingi kujifanya wajuaji!
Ila wapo wachache wa nuruni wanaolewa mambo yanavyokwenda!
Huamin katika Yesu unaamin katika fini yako.Hizo ni imani kila mtu anaamini kile anachokiamini kwa wakati huo.
Mimi naamini katika Yesu kristo lakini naheshimu imani za wengine.
Nadhani fini ulimanisha dini.Huamin katika Yesu unaamin katika fini yako.
Nadhani fini ulimanisha dini.
BTW sijakuteua kuwa msemaji wangu. Na kama umeandika hilo kwa hisia kuwa naamini katika din hilo ni juu yako.
Dini ni nini?
Ukielewa maana ya dini, utaelewa ninachomaanisha.
Mimi nasema naamini katika Kristo Yesu (Mungu) na sio dini na hauwezi kunipangia wala kunisemea.
Kila mtu anaamini anachoamini na imani ni state of mind. Wengine mizimu, miti, kuku, nk. Ni imani zao kwa wakati huo na hakuna wa kuwapangia wala kuwabeza kwani wamechagua. Siku wakipata ufahamu mwingine watabadili akili zao na kupokea imani mpya.
Ukitaka kujua kazi ya mapepo, Nivizuri unge mjua mtu original wa dunia Ninani.
Hapo ndo utajua kazi ya mapepo.
Nadhani bado hamjaelewa astal projections ni nini
Astral projection ni ile hali ya mtu kutengana na mwili wake kimawazo pili katika ulimwengu wa ndoto hakuna majinamizi kuna loho chafu Mara nyingi loho hizi chafu utaziona pale inapotokea vita kati ya malaika na hao loho wachafu vita hivi huwa ni vikubwa sana utakapo ona vita hiyo unatakiwa uondoke maana utakuwa na uwoga mwingi sana .utaweza kutarii katika sehemu mbalimbali ila katika vitu vyote mwanadamu ananguvu kubwa sana kuliko majini Ila mpaka kipindi utakapo jua kuzitumia kwa sababu astral sio kwenda kutarii tu kunakujifunza vitu vingi.kuhusu mtu kumwona marehem au mtu aliewahi kufa ni ngumu sana labda utumie meditation ili roho yake uiite nayo itakuja ila by using astral mpaka uwe mzoefu sana lasi hivyo hutoweza
.kuhusu swala la mtu kuja kukutikisa alafu ufe kwakweli haiwezekani labda uwe ndo siku uliyo pangiwa msiwe waoga nyie ndio wajenzi wa hii dunia ukifanikisha utajifahamu wewe ni nani na unatakiwa ufanye nini.kuhusu swala LA kufanya miujiza ni ngumu labda uwe unafanya meditation kwa kutumia astral inawezekana ila usizuru watu au kuzionyesha maana nguvu hizi ni kubwa sana hazina kiwango mfano kufaham mambo yanayokuja mbeleni kubwa na speed like the flash or sonic ,macho kuwa yanatoa mwanga, mikono kuwa na nguvu zisizo za kawaida, na kuwa na nguvu za kuelea angani,kupoterea (teleport), kuwa mbunifu,kuwa na uwezo wa kuponya jeraha na isibaki hata alama ndani ya sekunde moja ukiwa na nguvu majini wala wachawi hawata kusogerea nguvu ya mwisho kabisa ambayo hata ufight vipy kuipata tz ni kumfufua marehemu hii mungu anajua siri pekee hata maraika ukiwauliza watakwambia hii huruhusiwi kuifahamu maana itatumika vibaya kama baadhi ya wanadam wanaoitumia nguvu hiyo kwa kutumia majini sio jambo zuri kabisa maana kuna baadhi ya majini ambao mungu aliwapa nguvu za kuamsha wafu na hata baada ya kufukuzwa mbinguni waliachiwa nguvu hizo ingawa sio kwa kiwango kikubwa ni kwa kiwango kidogo sana na baadhi walinyang'anywa kabisa nitaendelea kuwajuza mengi zaidi ingawa kuna watu mnakata tamaa baada ya kuongopeshwa kwa maneno ya watu pia kuna wengi mlijalibu hamkufanikisha wengine mlijalibu mkahisi kiu mkameza mate kuna baadhi uzalendo uliwashinda mkajigeuza ASANTENI SANA TUTAKUTANA KWA AJIRI YA MAFUNZO ZAID
Binafsi huwa nafurahia na napenda sana matukio ya ndotoni kuliko maisha halisi. Nafurahi sana ukifika muda wa kulala maana ndio naelekea kuishi!
Na ikitokea siku nimeota 'wet dream' huwa najiona mwenye hatia kuliko! Yaani siku nzima nashinda sina raha.
Lakini nimegundua nikisali kabla ya kulala, 'wet dreams' zinapotea na ninarejea kwenye zile ndoto zenye mafumbo/maono ambayo kuzitafsiri inakua mtihani.
Kiujumla maisha ya ndotoni yako poa sana kuliko hali halisi.
That is my perspective.
Mkuu ukisinzia usiku waga hauoti ndoto?, Hujawahi kusikia au kuona mtu amezimia? na kuzinduka tena, au mtu aliyeshikwa na mapepo, wakitokaga katika ulimwengu wa roho waga wanasimulia nini mkuu, kama umewahi bhasi jibu utakuwa umelipata based on your "consciousness" lakini.
Mkuu kwa mtu mwenye tamaa mbaya,mzinzi,mlevi,muongo na anayefanya yale tunayoamini ni mabaya anaweza kuwa na pure soul?
Anayejibu hayo maombi yako ni Nani ??Celestial world ndiyo ulimwengu ambao sijawahi ku experience ila impact zake zinaweza kuonekana kwa sababu watu wanaomba na kujibiwa, ulimwengu huu wa roho ndipo mafundisho ya dini yalipojikita zaidi kuhusu ulimwengu wa roho, kwahiyo kuufikia huu inakupasa uwe msafi wa nafsi(Pure soul).