Ulimwengu wa Roho

Ulimwengu wa Roho

Mapepo ninini !? Na je Yana exist kweli !? Nini sababu ya uwepo wake " !? Sayansi Ina ongelea Nini kuhusu Hilo !?
Mapepo wengine wanasema ,mashetani,majini ni lugha tu.(ila ni Yale yenye cheo cha chini cha mwisho sbb nao wana rank zao huko)
Efeso 6:10 ukisoma hapo utapata hizo rank!

Iakini ni roho chafu,zipo zina exist!
Wajumbe wa Lucifer ndo wako assigned na kazi tofauti tofauti za kuharibu ,kuua,kuchinja.. Nk

Biblia inasema Kwenye Yohana sikumbuki ni ngapi,ndo kazi ya Lucifer na wa sharika wake ,ni kuua,kuharibu ,kuchinja.

Sayansi haiwezi kuongelea mambo ya rohoni(vitu visivyoonekana)
 
Kwanini hii Dunia inaendeshwa kisiri siri sana?
Ukitaka kujua hizo siri Mungu yupo!
Yeremia 33:3
Wasiojua dunia inavyoendeshwa ni ambao hawataki kuamini kuwa msingi wa hivi vinavyoonekana duniani ni vile visivyoonekana!
Lkn wa gizani wanajua sn,wana wa nuru ambao walitakiwa kujua na kutawala hawataki ,ubishi mwingi kujifanya wajuaji!

Ila wapo wachache wa nuruni wanaolewa mambo yanavyokwenda!
 
Mapepo wengine wanasema ,mashetani,majini ni lugha tu.(ila ni Yale yenye cheo cha chini cha mwisho sbb nao wana rank zao huko)
Efeso 6:10 ukisoma hapo utapata hizo rank!

Iakini ni roho chafu,zipo zina exist!
Wajumbe wa Lucifer ndo wako assigned na kazi tofauti tofauti za kuharibu ,kuua,kuchinja.. Nk

Biblia inasema Kwenye Yohana sikumbuki ni ngapi,ndo kazi ya Lucifer na wa sharika wake ,ni kuua,kuharibu ,kuchinja.

Sayansi haiwezi kuongelea mambo ya rohoni(vitu visivyoonekana)
Hakika, sayansi inashughulika na atom. Japo wanapofikia kwenye mitetemo na nguvu au vibration and energy kwa kizungu cha Uingereza hapo wanajaribu kupata muunganiko wa atom, nguvu na roho.

Naendelea kujifunza kupitia comment zenu. Asante.
 
Ukitaka kujua hizo siri Mungu yupo!
Yeremia 33:3
Wasiojua dunia inavyoendeshwa ni ambao hawataki kuamini kuwa msingi wa hivi vinavyoonekana duniani ni vile visivyoonekana!
Lkn wa gizani wanajua sn,wana wa nuru ambao walitakiwa kujua na kutawala hawataki ,ubishi mwingi kujifanya wajuaji!

Ila wapo wachache wa nuruni wanaolewa mambo yanavyokwenda!
Amen.
Huu ulimwengu unaoonekana unategemea sana ulimwengu usiionekana. Hata mwili wangu pia unategemea mimi nisiyeonekana kwa macho ya nyama. Tukijitambua ni jambo jema sana.

Watu wa giza wanajua na wanaitumia kwa manufaa hasi hii elimu. Unakuta mtu na Phd anapuuza manuizi au affirmation akidhani ni ushamba.

Inapendeza sana kuishi ktk roho.
 
Huamin katika Yesu unaamin katika fini yako.
Nadhani fini ulimanisha dini.

BTW sijakuteua kuwa msemaji wangu. Na kama umeandika hilo kwa hisia kuwa naamini katika din hilo ni juu yako.

Dini ni nini?
Ukielewa maana ya dini, utaelewa ninachomaanisha.

Mimi nasema naamini katika Kristo Yesu (Mungu) na sio dini na hauwezi kunipangia wala kunisemea.

Kila mtu anaamini anachoamini na imani ni state of mind. Wengine mizimu, miti, kuku, nk. Ni imani zao kwa wakati huo na hakuna wa kuwapangia wala kuwabeza kwani wamechagua. Siku wakipata ufahamu mwingine watabadili akili zao na kupokea imani mpya.
 
Nadhani fini ulimanisha dini.

BTW sijakuteua kuwa msemaji wangu. Na kama umeandika hilo kwa hisia kuwa naamini katika din hilo ni juu yako.

Dini ni nini?
Ukielewa maana ya dini, utaelewa ninachomaanisha.

Mimi nasema naamini katika Kristo Yesu (Mungu) na sio dini na hauwezi kunipangia wala kunisemea.

Kila mtu anaamini anachoamini na imani ni state of mind. Wengine mizimu, miti, kuku, nk. Ni imani zao kwa wakati huo na hakuna wa kuwapangia wala kuwabeza kwani wamechagua. Siku wakipata ufahamu mwingine watabadili akili zao na kupokea imani mpya.
 
Nadhani bado hamjaelewa astal projections ni nini

Astral projection ni ile hali ya mtu kutengana na mwili wake kimawazo pili katika ulimwengu wa ndoto hakuna majinamizi kuna loho chafu Mara nyingi loho hizi chafu utaziona pale inapotokea vita kati ya malaika na hao loho wachafu vita hivi huwa ni vikubwa sana utakapo ona vita hiyo unatakiwa uondoke maana utakuwa na uwoga mwingi sana .utaweza kutarii katika sehemu mbalimbali ila katika vitu vyote mwanadamu ananguvu kubwa sana kuliko majini Ila mpaka kipindi utakapo jua kuzitumia kwa sababu astral sio kwenda kutarii tu kunakujifunza vitu vingi.kuhusu mtu kumwona marehem au mtu aliewahi kufa ni ngumu sana labda utumie meditation ili roho yake uiite nayo itakuja ila by using astral mpaka uwe mzoefu sana lasi hivyo hutoweza

.kuhusu swala la mtu kuja kukutikisa alafu ufe kwakweli haiwezekani labda uwe ndo siku uliyo pangiwa msiwe waoga nyie ndio wajenzi wa hii dunia ukifanikisha utajifahamu wewe ni nani na unatakiwa ufanye nini.kuhusu swala LA kufanya miujiza ni ngumu labda uwe unafanya meditation kwa kutumia astral inawezekana ila usizuru watu au kuzionyesha maana nguvu hizi ni kubwa sana hazina kiwango mfano kufaham mambo yanayokuja mbeleni kubwa na speed like the flash or sonic ,macho kuwa yanatoa mwanga, mikono kuwa na nguvu zisizo za kawaida, na kuwa na nguvu za kuelea angani,kupoterea (teleport), kuwa mbunifu,kuwa na uwezo wa kuponya jeraha na isibaki hata alama ndani ya sekunde moja ukiwa na nguvu majini wala wachawi hawata kusogerea nguvu ya mwisho kabisa ambayo hata ufight vipy kuipata tz ni kumfufua marehemu hii mungu anajua siri pekee hata maraika ukiwauliza watakwambia hii huruhusiwi kuifahamu maana itatumika vibaya kama baadhi ya wanadam wanaoitumia nguvu hiyo kwa kutumia majini sio jambo zuri kabisa maana kuna baadhi ya majini ambao mungu aliwapa nguvu za kuamsha wafu na hata baada ya kufukuzwa mbinguni waliachiwa nguvu hizo ingawa sio kwa kiwango kikubwa ni kwa kiwango kidogo sana na baadhi walinyang'anywa kabisa nitaendelea kuwajuza mengi zaidi ingawa kuna watu mnakata tamaa baada ya kuongopeshwa kwa maneno ya watu pia kuna wengi mlijalibu hamkufanikisha wengine mlijalibu mkahisi kiu mkameza mate kuna baadhi uzalendo uliwashinda mkajigeuza ASANTENI SANA TUTAKUTANA KWA AJIRI YA MAFUNZO ZAID

Sawa tunasubiri mkuu ila wewe huko astral umeshafika? je umepata mke huko manake kuna mtu namfahamu ana wapenzi huko astral anamwita mpenz wake wa ndotoni je unaweza kukutana na mtu huko astral na mkawa marafiki. Mimi binafsi sijawahi kujiingiza kwenye mambo ya astral kwa sababu najua ndio hatua ya kwanza ya kuwa mchawi embu nifafanulie hapo.
 
Binafsi huwa nafurahia na napenda sana matukio ya ndotoni kuliko maisha halisi. Nafurahi sana ukifika muda wa kulala maana ndio naelekea kuishi!
Na ikitokea siku nimeota 'wet dream' huwa najiona mwenye hatia kuliko! Yaani siku nzima nashinda sina raha.
Lakini nimegundua nikisali kabla ya kulala, 'wet dreams' zinapotea na ninarejea kwenye zile ndoto zenye mafumbo/maono ambayo kuzitafsiri inakua mtihani.
Kiujumla maisha ya ndotoni yako poa sana kuliko hali halisi.
That is my perspective.

We dreams zinatokea pale mwanamke mchawi anapokupenda lakini hajui atakupata vipi. Kwaiyo akikupenda anakupa katika ulimwengu wa ndoto. Kama tendo lenyewe ulifurahia utapata bahati kesho yake kwenye mihangaiko yako kama uli bakwa na ukachukia hilo tendo ndotoni jua utapata nuksi na siku hyo usiende kazini.
 
Mkuu ukisinzia usiku waga hauoti ndoto?, Hujawahi kusikia au kuona mtu amezimia? na kuzinduka tena, au mtu aliyeshikwa na mapepo, wakitokaga katika ulimwengu wa roho waga wanasimulia nini mkuu, kama umewahi bhasi jibu utakuwa umelipata based on your "consciousness" lakini.

Kama mtu akilala hapati ndoto jua ni empty soul ai soulless ikitokea mtu hajaota ni kwasababu ni mlevi sana au labda kanywa pombe nyingi sana mpaka kazima. Mtu aliye kamilika lazima afurahie ndoto.
 
Celestial world ndiyo ulimwengu ambao sijawahi ku experience ila impact zake zinaweza kuonekana kwa sababu watu wanaomba na kujibiwa, ulimwengu huu wa roho ndipo mafundisho ya dini yalipojikita zaidi kuhusu ulimwengu wa roho, kwahiyo kuufikia huu inakupasa uwe msafi wa nafsi(Pure soul).
Anayejibu hayo maombi yako ni Nani ??
 
Back
Top Bottom