Ulimwengu wa Roho

Ulimwengu wa Roho

Hahah du bora ungesema hivyo umefanya astral projection kuliko unaongea vitu visivyokuwepo kabisa bora ukaamin mungu yupo uende usimkute kuliko usiamin uende umkute bc hili somo sitalitoa tena nitalitoa kwa watu maaluma ambao nimeanzanao nadhani mnafikiri nawapotosha kaeni hivyo hivyo
Wewe nae kichwa panzi, nani kasema aamini uwepo wa Mungu ?
 
Kuna Ulimwengu wa roho(usionekana) na ulimwengu wa mwili(yaani huu utunaoishi,unao onekana)!

Ulimwengu wa roho ndo msingi wa haya unayoyaona,kwa kifupi ni ulimwengu mama!

Kila unachokiona kwenye ulimwengu wa mwili lzm kianzie kwenye ulimwengu wa roho kwanza,kwa kifupi,mwilini ni matokeo tu,ya kile cha rohoni!

Ulimwengu wa roho ni halisi zaidi ya ulimwengu wa mwili!kwa sbb kila unachokiona lzm kianzie huko kwanza mwilini ni matokea tu.

Watu wa Giza wanajua sn haya kuliko wengine!
Sijui km utakuwa umepata kitu!
Uko sahihi.
 
Wewe unaeleweka,
Lakini mleta mda anaposema Ulimwengu wa roho ni sehemu ya kwenda kukutana na marafiki, familia mala vitu vizuri kama magari hapo ndipo matango pori yamejaa.
Nahisi ukuelewa mada, hayo ni mambo yanayotokea ndotoni, na ni jambo la kawaida kuota mambo kama hayo.
 
Mkuu ukisinzia usiku waga hauoti ndoto?, Hujawahi kusikia au kuona mtu amezimia? na kuzinduka tena, au mtu aliyeshikwa na mapepo, wakitokaga katika ulimwengu wa roho waga wanasimulia nini mkuu, kama umewahi bhasi jibu utakuwa umelipata based on your "consciousness" lakini.
Mapepo ninini !? Na je Yana exist kweli !? Nini sababu ya uwepo wake " !? Sayansi Ina ongelea Nini kuhusu Hilo !?
 
Nadhani bado hamjaelewa astal projections ni nini

Astral projection ni ile hali ya mtu kutengana na mwili wake kimawazo pili katika ulimwengu wa ndoto hakuna majinamizi kuna loho chafu Mara nyingi loho hizi chafu utaziona pale inapotokea vita kati ya malaika na hao loho wachafu vita hivi huwa ni vikubwa sana utakapo ona vita hiyo unatakiwa uondoke maana utakuwa na uwoga mwingi sana .utaweza kutarii katika sehemu mbalimbali ila katika vitu vyote mwanadamu ananguvu kubwa sana kuliko majini Ila mpaka kipindi utakapo jua kuzitumia kwa sababu astral sio kwenda kutarii tu kunakujifunza vitu vingi.kuhusu mtu kumwona marehem au mtu aliewahi kufa ni ngumu sana labda utumie meditation ili roho yake uiite nayo itakuja ila by using astral mpaka uwe mzoefu sana lasi hivyo hutoweza

.kuhusu swala la mtu kuja kukutikisa alafu ufe kwakweli haiwezekani labda uwe ndo siku uliyo pangiwa msiwe waoga nyie ndio wajenzi wa hii dunia ukifanikisha utajifahamu wewe ni nani na unatakiwa ufanye nini.kuhusu swala LA kufanya miujiza ni ngumu labda uwe unafanya meditation kwa kutumia astral inawezekana ila usizuru watu au kuzionyesha maana nguvu hizi ni kubwa sana hazina kiwango mfano kufaham mambo yanayokuja mbeleni kubwa na speed like the flash or sonic ,macho kuwa yanatoa mwanga, mikono kuwa na nguvu zisizo za kawaida, na kuwa na nguvu za kuelea angani,kupoterea (teleport), kuwa mbunifu,kuwa na uwezo wa kuponya jeraha na isibaki hata alama ndani ya sekunde moja ukiwa na nguvu majini wala wachawi hawata kusogerea nguvu ya mwisho kabisa ambayo hata ufight vipy kuipata tz ni kumfufua marehemu hii mungu anajua siri pekee hata maraika ukiwauliza watakwambia hii huruhusiwi kuifahamu maana itatumika vibaya kama baadhi ya wanadam wanaoitumia nguvu hiyo kwa kutumia majini sio jambo zuri kabisa maana kuna baadhi ya majini ambao mungu aliwapa nguvu za kuamsha wafu na hata baada ya kufukuzwa mbinguni waliachiwa nguvu hizo ingawa sio kwa kiwango kikubwa ni kwa kiwango kidogo sana na baadhi walinyang'anywa kabisa nitaendelea kuwajuza mengi zaidi ingawa kuna watu mnakata tamaa baada ya kuongopeshwa kwa maneno ya watu pia kuna wengi mlijalibu hamkufanikisha wengine mlijalibu mkahisi kiu mkameza mate kuna baadhi uzalendo uliwashinda mkajigeuza ASANTENI SANA TUTAKUTANA KWA AJIRI YA MAFUNZO ZAID
Hacha kupotosha watu wewe
 
Nadhani bado hamjaelewa astal projections ni nini

Astral projection ni ile hali ya mtu kutengana na mwili wake kimawazo pili katika ulimwengu wa ndoto hakuna majinamizi kuna loho chafu Mara nyingi loho hizi chafu utaziona pale inapotokea vita kati ya malaika na hao loho wachafu vita hivi huwa ni vikubwa sana utakapo ona vita hiyo unatakiwa uondoke maana utakuwa na uwoga mwingi sana .utaweza kutarii katika sehemu mbalimbali ila katika vitu vyote mwanadamu ananguvu kubwa sana kuliko majini Ila mpaka kipindi utakapo jua kuzitumia kwa sababu astral sio kwenda kutarii tu kunakujifunza vitu vingi.kuhusu mtu kumwona marehem au mtu aliewahi kufa ni ngumu sana labda utumie meditation ili roho yake uiite nayo itakuja ila by using astral mpaka uwe mzoefu sana lasi hivyo hutoweza

.kuhusu swala la mtu kuja kukutikisa alafu ufe kwakweli haiwezekani labda uwe ndo siku uliyo pangiwa msiwe waoga nyie ndio wajenzi wa hii dunia ukifanikisha utajifahamu wewe ni nani na unatakiwa ufanye nini.kuhusu swala LA kufanya miujiza ni ngumu labda uwe unafanya meditation kwa kutumia astral inawezekana ila usizuru watu au kuzionyesha maana nguvu hizi ni kubwa sana hazina kiwango mfano kufaham mambo yanayokuja mbeleni kubwa na speed like the flash or sonic ,macho kuwa yanatoa mwanga, mikono kuwa na nguvu zisizo za kawaida, na kuwa na nguvu za kuelea angani,kupoterea (teleport), kuwa mbunifu,kuwa na uwezo wa kuponya jeraha na isibaki hata alama ndani ya sekunde moja ukiwa na nguvu majini wala wachawi hawata kusogerea nguvu ya mwisho kabisa ambayo hata ufight vipy kuipata tz ni kumfufua marehemu hii mungu anajua siri pekee hata maraika ukiwauliza watakwambia hii huruhusiwi kuifahamu maana itatumika vibaya kama baadhi ya wanadam wanaoitumia nguvu hiyo kwa kutumia majini sio jambo zuri kabisa maana kuna baadhi ya majini ambao mungu aliwapa nguvu za kuamsha wafu na hata baada ya kufukuzwa mbinguni waliachiwa nguvu hizo ingawa sio kwa kiwango kikubwa ni kwa kiwango kidogo sana na baadhi walinyang'anywa kabisa nitaendelea kuwajuza mengi zaidi ingawa kuna watu mnakata tamaa baada ya kuongopeshwa kwa maneno ya watu pia kuna wengi mlijalibu hamkufanikisha wengine mlijalibu mkahisi kiu mkameza mate kuna baadhi uzalendo uliwashinda mkajigeuza ASANTENI SANA TUTAKUTANA KWA AJIRI YA MAFUNZO ZAID
Mkuu kuna vitu unavijua sana kuhusu roho. Kama nakuelewa vile
 
Kuna Ulimwengu wa roho(usionekana) na ulimwengu wa mwili(yaani huu utunaoishi,unao onekana)!

Ulimwengu wa roho ndo msingi wa haya unayoyaona,kwa kifupi ni ulimwengu mama!

Kila unachokiona kwenye ulimwengu wa mwili lzm kianzie kwenye ulimwengu wa roho kwanza,kwa kifupi,mwilini ni matokeo tu,ya kile cha rohoni!

Ulimwengu wa roho ni halisi zaidi ya ulimwengu wa mwili!kwa sbb kila unachokiona lzm kianzie huko kwanza mwilini ni matokea tu.

Watu wa Giza wanajua sn haya kuliko wengine!
Sijui km utakuwa umepata kitu!
Umenena kweli tupu. Ningependa kujifunza na kuongeza uelewa zaidi kupitia kwako.
 
Wewe unaeleweka,
Lakini mleta mda anaposema Ulimwengu wa roho ni sehemu ya kwenda kukutana na marafiki, familia mala vitu vizuri kama magari hapo ndipo matango pori yamejaa.
Mleta mada kuna kitu anacho kizuri lakini bado hajakielewa anatakiwa aweke bidii kujifunza zaidi. Kwa vile ana nia njema pia kusaidia wengine atakielewa vizuri.
 
Kweli aisee..roho ikiwa hai ni jambo jema sana, pia ukiwa kule hakuna 'limit' tofauti na huku ulimwengu wa mwili.
Bahati mbaya ukifa kila kitu kinasimama hadi mawazo. Nadhani ndio maana M'Mungu anatuambia tuchague kuishi, tena akatoa na 'bonus' ya kuishi milele!
Umenena kwa ufupi lakini ni sawa na mtu aloandika ujumbe ukurasa mzima wa A4.

Ni hakika na kweli kwa mtizamo wangu lakini.
 
Back
Top Bottom