joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ukiona ivo wanajeshi wa Uganda ndo waathirika wakuu na huo mradi
Kisonono,gonoria!Haya ni magonjwa tofauti?Sio kweli hayo ni mambo ya kawaida majeshini sio ukimwi tuu unaangaliwa kumbuka kuna mimba kisonono kaswende na gonoria mbona mimi nakumbuka hata kwetu kuna kipindi niko kruta tulikuwa tunazikuta umewekewa kitandani bila hata kijua nani kaweka au ukienda hospital zimening'inizwa ukutani unajibebia tuu.
Bampa to bampa[emoji38] [emoji38] [emoji38]Stop nyama to nyama
Kisonono,gonoria!Haya ni magonjwa tofauti?
Bampa to bampa[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Tatizo vitamu vinacostMnofu kwa mnofu raha sana.
Asilimia kubwa ya wanajeshi na ndugu zangu madereva wa malori ni malaya kishenzi (wazee wakujiachia kwenye miti mikavu) . Yaani kama una dem ambaye hizi kada mbili zimepita, usipige kavu au bora mkapime.
Kisonono,gonoria!Haya ni magonjwa tofauti?
Utaeleweka kidogo sana mkuuHIV is the Project, Project yenye kuangamiza Wenye Giza huku ikiwatia hao hao wenye giza hasara na kuwanufaisha Wenye HIV yao!
Kama ujuavyo si wote watakuelewa!Utaeleweka kidogo sana mkuu