Mpambanaji K
Member
- Dec 29, 2008
- 84
- 6
Serikali,imetangaza kimya kimya hali ya hatari UDSM. Hakuna mtu asiye mwanafunzi au mwalimu anayeruhusiwa kuingia chuo. maaskari wenye silaha wenye uniform na mashushu wako kila mahali. ndani ya chuo imekuwa kama barracks
Gharama ya kuweka hawa maaskari UDSM ni shillingi milioni mia(100,000,000). Maaskari wameninong'oneza kuwa wana amri ya ''kushoot na kuua''
Habari ndio hiyo
mp
Serikali,imetangaza kimya kimya hali ya hatari UDSM. Hakuna mtu asiye mwanafunzi au mwalimu anayeruhusiwa kuingia chuo. maaskari wenye silaha wenye uniform na mashushu wako kila mahali. ndani ya chuo imekuwa kama barracks
Gharama ya kuweka hawa maaskari UDSM ni shillingi milioni mia(100,000,000). Maaskari wameninong'oneza kuwa wana amri ya ''kushoot na kuua''
Habari ndio hiyo
mp
Mkuu Mpambanaji
Una uhakika na kauli zako?
Watu inakuaje wanaona haiwezekani kutoa amri ya kushoot?? Kwani hii itakuwa ni mara ya kwanza TZ kufanya hivyo??? Si ni serikali hiyo hiyo ya CCM iliyotoa amri ya kushoot wakati ule wa mwembachai na kule Zanzibar, au siyo???? Mnataka mpaka watu wafe nidiyo muamini??? kama ni hivyo basi subirini kwani nyie mnataka kuwa mwanafunzi wa Yesu yule aliyeitwa Tomso.
Kuna chanzo changu cha habari niekiuliza pale Mlimani na kimesema huu ni uongo. Sasa kama wafanyakazi wamezuiwa, wale wanaofanya kazi za usajili wa wanafunzi ni akina nani? Baada ya kuanza na process za getini, wanafunzi wanaelekea kukamilisha usajili kwa wakuu wa vitivo vyao, sasa kama wanafunzi wanazuiwa, si wangejaa getini? Zile shuttle zinazofanya route za ndani zinabeba akina nani? Uongo mtupu!! Naendelea kuwasiliana na jamaa pale Mlimani, nitarudi.
Kuna chanzo changu cha habari niekiuliza pale Mlimani na kimesema huu ni uongo. Sasa kama wafanyakazi wamezuiwa, wale wanaofanya kazi za usajili wa wanafunzi ni akina nani? Baada ya kuanza na process za getini, wanafunzi wanaelekea kukamilisha usajili kwa wakuu wa vitivo vyao, sasa kama wanafunzi wanazuiwa, si wangejaa getini? Zile shuttle zinazofanya route za ndani zinabeba akina nani? Uongo mtupu!! Naendelea kuwasiliana na jamaa pale Mlimani, nitarudi.
Habari hii ina ushabiki wa hali ya juu sana, Watanzania acheni kuweka mbegu mbaya zisizokuwa na ulazima!
Ni upuuzi wa hali ya juu kusema serikali imeruhusu ku-shoot...
Hebu tuonyeshe hapa kama kuna mtu ameandika kuwa wafanyakazi na wanafunzi wamekatazwa kuingia. Au mwenzetu unasoma kinyume nyume?
.....ndiyohiyo
Serikali,imetangaza kimya kimya hali ya hatari UDSM. Hakuna mtu asiye mwanafunzi au mwalimu anayeruhusiwa kuingia chuo. maaskari wenye silaha wenye uniform na mashushu wako kila mahali. ndani ya chuo imekuwa kama barracks
Gharama ya kuweka hawa maaskari UDSM ni shillingi milioni mia(100,000,000). Maaskari wameninong'oneza kuwa wana amri ya ''kushoot na kuua''
Habari ndio hiyo
mp