Mpambanaji K
Member
- Dec 29, 2008
- 84
- 6
Serikali,imetangaza kimya kimya hali ya hatari UDSM. Hakuna mtu asiye mwanafunzi au mwalimu anayeruhusiwa kuingia chuo. maaskari wenye silaha wenye uniform na mashushu wako kila mahali. ndani ya chuo imekuwa kama barracks
Gharama ya kuweka hawa maaskari UDSM ni shillingi milioni mia(100,000,000). Maaskari wameninong'oneza kuwa wana amri ya ''kushoot na kuua''
Habari ndio hiyo
mp
Gharama ya kuweka hawa maaskari UDSM ni shillingi milioni mia(100,000,000). Maaskari wameninong'oneza kuwa wana amri ya ''kushoot na kuua''
Habari ndio hiyo
mp
Last edited by a moderator: