Sipo Tanzania lakini hata mimi siwezi kulikubali bali kuna ushabiki usio wa lazima hapa, tujaribu kuandika vitu vyenye mantiki badala ya kutumia majukwaa murua kama haya kwa ushabiki usio na maana. kama kuna amri ya kutotaka watu kwenda kufanya fujo ni bora zaidi kwani wakizembea tutakuja hapa na lawama nyingine kuwa serikali ililiona lakini ikalizembea.
Habari hii ina ushabiki wa hali ya juu sana, Watanzania acheni kuweka mbegu mbaya zisizokuwa na ulazima!
Ni upuuzi wa hali ya juu kusema serikali imeruhusu ku-shoot...[/QUOTE]
Mkuu kasheshe naungana na wewe moja kwa moja, hapa uwanjani kuna watu wanaamua tu kuongea mambo ambayo wanaona inawapendeza wao kuzungumza namna hiyo, ila kwa taarifa ambazo ninazo ni kwamba chuo kiko shwari kabisa na hakuna rabsha rabsha ya aina yoyote ile zaidi zaidi ya hao viongozi wanaojiita wa DARUSO while mkuu wao wa chuo amewatangazia kuwa hakuna daruso mpaka watakapofanya uchaguzi upya sasa wao walienda wamevalia nguo nyeusi na wengine kuvaa vitambaa vyeusi kichwani sasa hao walipoonekana tu hapo getini wakabebwa na maaskari waliokuwa doria pia magari ya FFU wamepandisha bendera nyekundu na hii huwa ni kushiria hali ya hatari na wapo kukabiliana na vurugu kwa namna yoyote ile.
Kuna chanzo changu cha habari nimekiuliza pale Mlimani na kimesema huu ni uongo. Sasa kama wafanyakazi wamezuiwa, wale wanaofanya kazi za usajili wa wanafunzi ni akina nani? Baada ya kuanza na process za getini, wanafunzi wanaelekea kukamilisha usajili kwa wakuu wa vitivo vyao, sasa kama wanafunzi wanazuiwa, si wangejaa getini? Zile shuttle zinazofanya route za ndani zinabeba akina nani? Uongo mtupu!! Naendelea kuwasiliana na jamaa pale Mlimani, nitarudi. Lakini pamoja na mabaya waliyofanyiwa wanafunzi, tuwe tunasema ukweli, si kuweka ushabiki hapa.
Habari hii ina ushabiki wa hali ya juu sana, Watanzania acheni kuweka mbegu mbaya zisizokuwa na ulazima!
Ni upuuzi wa hali ya juu kusema serikali imeruhusu ku-shoot..
Mkuu kasheshe naungana na wewe moja kwa moja, hapa uwanjani kuna watu wanaamua tu kuongea mambo ambayo wanaona inawapendeza wao kuzungumza namna hiyo, ila kwa taarifa ambazo ninazo ni kwamba chuo kiko shwari kabisa na hakuna rabsha rabsha ya aina yoyote ile zaidi zaidi ya hao viongozi wanaojiita wa DARUSO while mkuu wao wa chuo amewatangazia kuwa hakuna daruso mpaka watakapofanya uchaguzi upya sasa wao walienda wamevalia nguo nyeusi na wengine kuvaa vitambaa vyeusi kichwani sasa hao walipoonekana tu hapo getini wakabebwa na maaskari waliokuwa doria pia magari ya FFU wamepandisha bendera nyekundu na hii huwa ni kushiria hali ya hatari na wapo kukabiliana na vurugu kwa namna yoyote ile.
This sets a bad precedent! Leo DARUSO, next time itakuwa UDASA, RAAWU etc.
Habari hii ina ushabiki wa hali ya juu sana, Watanzania acheni kuweka mbegu mbaya zisizokuwa na ulazima!
Ni upuuzi wa hali ya juu kusema serikali imeruhusu ku-shoot...[/QUOTE]
Mkuu kasheshe naungana na wewe moja kwa moja, hapa uwanjani kuna watu wanaamua tu kuongea mambo ambayo wanaona inawapendeza wao kuzungumza namna hiyo, ila kwa taarifa ambazo ninazo ni kwamba chuo kiko shwari kabisa na hakuna rabsha rabsha ya aina yoyote ile zaidi zaidi ya hao viongozi wanaojiita wa DARUSO while mkuu wao wa chuo amewatangazia kuwa hakuna daruso mpaka watakapofanya uchaguzi upya sasa wao walienda wamevalia nguo nyeusi na wengine kuvaa vitambaa vyeusi kichwani sasa hao walipoonekana tu hapo getini wakabebwa na maaskari waliokuwa doria pia magari ya FFU wamepandisha bendera nyekundu na hii huwa ni kushiria hali ya hatari na wapo kukabiliana na vurugu kwa namna yoyote ile.
Swali je Hali ya hatari haipo?
Je watoto wa maskini wasio na mbele wala nyuma ( na walio someshwa na serikali hata kabla shule za secondary kwa sifa) wataruhusiwa kuingia wakasome tena wamalize masomo yao waendelee na ujenzi wa taifa;
Mtoto qa maskini Tanzania ni kama mtu mwenye ukoma enzi za unyanyapaa ( walitengwa).
Naona hata humu huu uchungu wengine hamuuoni; mna roho zisizojali maisha ya wenzenu; msioangalia tutokako na tuendako; Mstakabali wa taifa; Kama Kenya ni mara 2 ya wanafunzi wetu chuoni ; je serikali imefanya chochote au kukataa EAC ndio solution a yao? mmH mie nawaonea uchungu hawa; may be kwa kuwa pia nilikuwa ktk list hiyo; bahati nzuri tu hatukuwa na sera ya kuchangai enzi hizo
Mkuu Mpambanaji
Una uhakika na kauli zako?
Habari hii ina ushabiki wa hali ya juu sana, Watanzania acheni kuweka mbegu mbaya zisizokuwa na ulazima!
Ni upuuzi wa hali ya juu kusema serikali imeruhusu ku-shoot...[/QUOTE]
Mkuu kasheshe naungana na wewe moja kwa moja, hapa uwanjani kuna watu wanaamua tu kuongea mambo ambayo wanaona inawapendeza wao kuzungumza namna hiyo, ila kwa taarifa ambazo ninazo ni kwamba chuo kiko shwari kabisa na hakuna rabsha rabsha ya aina yoyote ile zaidi zaidi ya hao viongozi wanaojiita wa DARUSO while mkuu wao wa chuo amewatangazia kuwa hakuna daruso mpaka watakapofanya uchaguzi upya sasa wao walienda wamevalia nguo nyeusi na wengine kuvaa vitambaa vyeusi kichwani sasa hao walipoonekana tu hapo getini wakabebwa na maaskari waliokuwa doria pia magari ya FFU wamepandisha bendera nyekundu na hii huwa ni kushiria hali ya hatari na wapo kukabiliana na vurugu kwa namna yoyote ile.
speed ya kuongezeka members JF inaenda sawa sawa na speed ya kupoteza umaarufu, mtu anaweza kukukurupuka na kupost vitu vya ajabu ajabu tu
Habari hii ina ushabiki wa hali ya juu sana, Watanzania acheni kuweka mbegu mbaya zisizokuwa na ulazima!
Ni upuuzi wa hali ya juu kusema serikali imeruhusu ku-shoot...
...labda ni kusahihisha tu kuwa pale getini lazima useme unaenda wapi na uwe na kitambulisho bila hivyo huruhusiwi kupita! hivyo wafanyakazi wa chuo/benki/hospitali/ cafeteria ndani ya campus wapo kazini ila wamenyanyasika sana kwani asubuhi walipanga foleni kubwa sana na kunawatu wamezungushwa kwa zaidi ya saa mbili. mf mtu wa changanyikeni alizunguka msewe/rombo/ubungo/ na kurudi chuo nk.
Suala la kuua linategemea na resistance iliyopo, sasa sijui watu wanashangaa nini, mbona mara nyingi polisi/FFU wameua??
Currently Active Users Viewing This Thread: 53 (15 members and 38 guests)
speed ya kuongezeka members JF inaenda sawa sawa na speed ya kupoteza umaarufu, mtu anaweza kukukurupuka na kupost vitu vya ajabu ajabu tu
Pia anaweza asikurupuke na hali hiyo ikawa ndiyo imetawala. Mwenye tatizo fulani anaweza asijue ana tatizo. Hata Tz hapa kama kutatokea mambo ya ajabu still baadhi ya watu watasema mambo ni shwari. Hali hii ya usingizi na kuwa boneless inakera sana!
Nadhani jioni hii tutajionea kwenye TV kama kweli hali ilikuwa tense au shwari na kama hali kama hiyo ndiyo tunayotaka iendelee hapa nchini.