Ulinzi na kamatakamata UDSM leo

Ulinzi na kamatakamata UDSM leo

Sipo Tanzania lakini hata mimi siwezi kulikubali bali kuna ushabiki usio wa lazima hapa, tujaribu kuandika vitu vyenye mantiki badala ya kutumia majukwaa murua kama haya kwa ushabiki usio na maana. kama kuna amri ya kutotaka watu kwenda kufanya fujo ni bora zaidi kwani wakizembea tutakuja hapa na lawama nyingine kuwa serikali ililiona lakini ikalizembea.

Mimi sipendi ushabiki ila siwezi kubisha kama hayo yaliyosemwa ni kweli. Maana hadhari iliyotolewa jana can easily lead to that. No surprises for me. After all, it's not the first time "to shoot and kill". Katika nchi yetu, "anything goes".
 
Habari hii ina ushabiki wa hali ya juu sana, Watanzania acheni kuweka mbegu mbaya zisizokuwa na ulazima!

Ni upuuzi wa hali ya juu kusema serikali imeruhusu ku-shoot...[/
QUOTE]

Mkuu kasheshe naungana na wewe moja kwa moja, hapa uwanjani kuna watu wanaamua tu kuongea mambo ambayo wanaona inawapendeza wao kuzungumza namna hiyo, ila kwa taarifa ambazo ninazo ni kwamba chuo kiko shwari kabisa na hakuna rabsha rabsha ya aina yoyote ile zaidi zaidi ya hao viongozi wanaojiita wa DARUSO while mkuu wao wa chuo amewatangazia kuwa hakuna daruso mpaka watakapofanya uchaguzi upya sasa wao walienda wamevalia nguo nyeusi na wengine kuvaa vitambaa vyeusi kichwani sasa hao walipoonekana tu hapo getini wakabebwa na maaskari waliokuwa doria pia magari ya FFU wamepandisha bendera nyekundu na hii huwa ni kushiria hali ya hatari na wapo kukabiliana na vurugu kwa namna yoyote ile.
 
Kuna chanzo changu cha habari nimekiuliza pale Mlimani na kimesema huu ni uongo. Sasa kama wafanyakazi wamezuiwa, wale wanaofanya kazi za usajili wa wanafunzi ni akina nani? Baada ya kuanza na process za getini, wanafunzi wanaelekea kukamilisha usajili kwa wakuu wa vitivo vyao, sasa kama wanafunzi wanazuiwa, si wangejaa getini? Zile shuttle zinazofanya route za ndani zinabeba akina nani? Uongo mtupu!! Naendelea kuwasiliana na jamaa pale Mlimani, nitarudi. Lakini pamoja na mabaya waliyofanyiwa wanafunzi, tuwe tunasema ukweli, si kuweka ushabiki hapa.

Wewe umesema hapa kuwa kuna mtu amesema kuwa Wanafunzi na Wafanyakazi wa chuo wamezuiwa. Kwenye utetezi wako umegeuza kauli sasa unazungumzia polisi na manesi. Hebu tuonyeshe mahali mtu amesema wanafunzi wameuzuia

....ndiyohiyo
 
Ffu wametambaa mpaka sinza na sehemu zingine ambazo kuna wanafunzi walikuwa wanaishi kwa wingi kama ubungo
 
Habari hii ina ushabiki wa hali ya juu sana, Watanzania acheni kuweka mbegu mbaya zisizokuwa na ulazima!

Ni upuuzi wa hali ya juu kusema serikali imeruhusu ku-shoot..

Mkuu kasheshe naungana na wewe moja kwa moja, hapa uwanjani kuna watu wanaamua tu kuongea mambo ambayo wanaona inawapendeza wao kuzungumza namna hiyo, ila kwa taarifa ambazo ninazo ni kwamba chuo kiko shwari kabisa na hakuna rabsha rabsha ya aina yoyote ile zaidi zaidi ya hao viongozi wanaojiita wa DARUSO while mkuu wao wa chuo amewatangazia kuwa hakuna daruso mpaka watakapofanya uchaguzi upya sasa wao walienda wamevalia nguo nyeusi na wengine kuvaa vitambaa vyeusi kichwani sasa hao walipoonekana tu hapo getini wakabebwa na maaskari waliokuwa doria pia magari ya FFU wamepandisha bendera nyekundu na hii huwa ni kushiria hali ya hatari na wapo kukabiliana na vurugu kwa namna yoyote ile.

This sets a bad precedent! Leo DARUSO, next time itakuwa UDASA, RAAWU etc.
 
Habari hii ina ushabiki wa hali ya juu sana, Watanzania acheni kuweka mbegu mbaya zisizokuwa na ulazima!

Ni upuuzi wa hali ya juu kusema serikali imeruhusu ku-shoot...[/
QUOTE]

Mkuu kasheshe naungana na wewe moja kwa moja, hapa uwanjani kuna watu wanaamua tu kuongea mambo ambayo wanaona inawapendeza wao kuzungumza namna hiyo, ila kwa taarifa ambazo ninazo ni kwamba chuo kiko shwari kabisa na hakuna rabsha rabsha ya aina yoyote ile zaidi zaidi ya hao viongozi wanaojiita wa DARUSO while mkuu wao wa chuo amewatangazia kuwa hakuna daruso mpaka watakapofanya uchaguzi upya sasa wao walienda wamevalia nguo nyeusi na wengine kuvaa vitambaa vyeusi kichwani sasa hao walipoonekana tu hapo getini wakabebwa na maaskari waliokuwa doria pia magari ya FFU wamepandisha bendera nyekundu na hii huwa ni kushiria hali ya hatari na wapo kukabiliana na vurugu kwa namna yoyote ile.

Swali je Hali ya hatari haipo?
Je watoto wa maskini wasio na mbele wala nyuma ( na walio someshwa na serikali hata kabla shule za secondary kwa sifa) wataruhusiwa kuingia wakasome tena wamalize masomo yao waendelee na ujenzi wa taifa;
Mtoto qa maskini Tanzania ni kama mtu mwenye ukoma enzi za unyanyapaa ( walitengwa).
Naona hata humu huu uchungu wengine hamuuoni; mna roho zisizojali maisha ya wenzenu; msioangalia tutokako na tuendako; Mstakabali wa taifa; Kama Kenya ni mara 2 ya wanafunzi wetu chuoni ; je serikali imefanya chochote au kukataa EAC ndio solution a yao? mmH mie nawaonea uchungu hawa; may be kwa kuwa pia nilikuwa ktk list hiyo; bahati nzuri tu hatukuwa na sera ya kuchangai enzi hizo
 
Hivi mapesa yote haya wanayotumia kufanya udahili upya, kuweka ulinzi (silaha, magari, askari nk), vikao, publicity etc wanayatoa wapi? Ni ya walipa kodi au wafadhili? hayo mapesa si yangeweza kukopeshwa kwa wanafunzi kadhaa kulipia ada? Kwa maoni yangu haya ni matumizi mabaya ya madaraka na rasilimali za taifa. Na mbaya zaidi haya yanatokea chuo kikuu!
 
Habari hii ina ushabiki wa hali ya juu sana, Watanzania acheni kuweka mbegu mbaya zisizokuwa na ulazima!

Ni upuuzi wa hali ya juu kusema serikali imeruhusu ku-shoot...[/
QUOTE]

Mkuu kasheshe naungana na wewe moja kwa moja, hapa uwanjani kuna watu wanaamua tu kuongea mambo ambayo wanaona inawapendeza wao kuzungumza namna hiyo, ila kwa taarifa ambazo ninazo ni kwamba chuo kiko shwari kabisa na hakuna rabsha rabsha ya aina yoyote ile zaidi zaidi ya hao viongozi wanaojiita wa DARUSO while mkuu wao wa chuo amewatangazia kuwa hakuna daruso mpaka watakapofanya uchaguzi upya sasa wao walienda wamevalia nguo nyeusi na wengine kuvaa vitambaa vyeusi kichwani sasa hao walipoonekana tu hapo getini wakabebwa na maaskari waliokuwa doria pia magari ya FFU wamepandisha bendera nyekundu na hii huwa ni kushiria hali ya hatari na wapo kukabiliana na vurugu kwa namna yoyote ile.


speed ya kuongezeka members JF inaenda sawa sawa na speed ya kupoteza umaarufu, mtu anaweza kukukurupuka na kupost vitu vya ajabu ajabu tu
 
Hii serikali imeshindwa kupeleka hao FFU kusaka wauaji wa ALBINO wanapoteza hela bure kutisha vijana wa masikini
 
Wananfunzi wanne wako mikononi mwa polisi kwa kuchochea ghasia
 
Habari hii ina ushabiki wa hali ya juu sana, Watanzania acheni kuweka mbegu mbaya zisizokuwa na ulazima!

Ni upuuzi wa hali ya juu kusema serikali imeruhusu ku-shoot...

sio upuuzi au ushabiki ndugu. kama ungekuwa na muda ungepita chuo na ungejionea mwenyewe, na ungekuwa kama waaminio na siyo wasioamini.
na huwezi kuamini nguvu kubwa ambayo ipo pale. hata hizo gharama huenda zikazidi.
labda ni kusahihisha tu kuwa pale getini lazima useme unaenda wapi na uwe na kitambulisho bila hivyo huruhusiwi kupita! hivyo wafanyakazi wa chuo/benki/hospitali/ cafeteria ndani ya campus wapo kazini ila wamenyanyasika sana kwani asubuhi walipanga foleni kubwa sana na kunawatu wamezungushwa kwa zaidi ya saa mbili. mf mtu wa changanyikeni alizunguka msewe/rombo/ubungo/ na kurudi chuo nk.
Suala la kuua linategemea na resistance iliyopo, sasa sijui watu wanashangaa nini, mbona mara nyingi polisi/FFU wameua??
 
Hao FFU na bunduki zao wanalinda nini hasa ?
Kuna mgodi wa MADINI hapo UDSM?
 
...labda ni kusahihisha tu kuwa pale getini lazima useme unaenda wapi na uwe na kitambulisho bila hivyo huruhusiwi kupita! hivyo wafanyakazi wa chuo/benki/hospitali/ cafeteria ndani ya campus wapo kazini ila wamenyanyasika sana kwani asubuhi walipanga foleni kubwa sana na kunawatu wamezungushwa kwa zaidi ya saa mbili. mf mtu wa changanyikeni alizunguka msewe/rombo/ubungo/ na kurudi chuo nk.
Suala la kuua linategemea na resistance iliyopo, sasa sijui watu wanashangaa nini, mbona mara nyingi polisi/FFU wameua??

Okay, asante kwa kuliweka hilo sawa sawa.

Currently Active Users Viewing This Thread: 53 (15 members and 38 guests)

Nadhani panahitajika information sahihi na ambazo ziko updated kwani kuna wengi tu wanafuatilia kutaka kinachoendelea pale UDSM. Mliopo maeneo ya huko endeleeni kutuhabarisha!
 
Waliokamatwa ni Issah Paul, Titus Ndullah, Sabinian Prinspius na Bahati Alone. Kamanda wa Kinodnoni, Kalunguyeye (nadhani ndio jina lake) amesema watafikishwa mahakamani kwa uchochezi
 
Nao wamezidii watulie warudi chuoni...wajipange upya kwa hoja this time sio nguvu tenaa.........wanatukera sana kasiiiutumia nguvu dhidi serikali......hawataweza...wajipange upya kuja ki sera ba
 
Kaongezeka mmoja huyo katoa lugha ya matusi wakati wa kudahiliwa kwa hiyo wapo 5 mahabusu.
 
speed ya kuongezeka members JF inaenda sawa sawa na speed ya kupoteza umaarufu, mtu anaweza kukukurupuka na kupost vitu vya ajabu ajabu tu

Pia anaweza asikurupuke na hali hiyo ikawa ndiyo imetawala. Mwenye tatizo fulani anaweza asijue ana tatizo. Hata Tz hapa kama kutatokea mambo ya ajabu still baadhi ya watu watasema mambo ni shwari. Hali hii ya usingizi na kuwa boneless inakera sana!

Nadhani jioni hii tutajionea kwenye TV kama kweli hali ilikuwa tense au shwari na kama hali kama hiyo ndiyo tunayotaka iendelee hapa nchini.
 
Wana JF,

Inwezekana ni kweli habari hii imetiwa chumvi lakini kuna ukweli asilimia 90. Suala la kujiuliza ni kwa manufaa ya nani nguvu zote hizo zinatumika? Kuwazuia wanafunzi ambao hawakujaza form na kutimiza masharti? Kuna haja ya kutumia FFU na vitambaa vyekundu? Je ni kwanini DARUSO imefutwa wakati huu ambao wanafunzi walikuwa labda wanaihitaji zaidi ya wakati mwingine wowote. Je hii ni dalili ya utawala bora pale chuoni? Je hao askari watakaa hapo mpaka lini?

Hata wakiweka askari 5,000 ukweli unabaki pale pale kwamba serikali imeshindwa kupata njia sahihi ya kuendesha vyuo vikuu na ni aibu kubwa kwa Prof. Mkandala ambaye wengi tulikuwa tunamuheshimu na kumuona kama mwana mapinduzi halisi. Nashindwa kuamini ni yeye anayeruhusu haya yafanyike.

Time will tell!!!!!!
 
Back
Top Bottom