Ulinzi na Usalama wa Tanzania ni imara, wa uhakika na wa kuaminika

Ulinzi na Usalama wa Tanzania ni imara, wa uhakika na wa kuaminika

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Watanzania wanaishi kwa amani na utulivu sana, ukilinganisha na nchi nyingine yoyote Afrika Mashariki.

Shughuli za kiuchumi mathalani utalii, biashara, uwekezaji katika sekta mbalimbali, viwanda, kilimo, uvuvi, usafirishaji na shughuli nyingine mbalimbali binafsi za waTanzania, zinafanyika katika utulivu na amani ya uhakika sana.

Ulinzi wa watu, mali zao na mipaka ya pande zote za nchi, ni wa uhakika na imara sana na hiki ndicho chanzo cha kudumu cha furaha na utangamano miongoni mwa Watanzania.

Asante sana Serikali ya awamu ya sita kwa hili, shukrani za kipekee sana kwa rais, Dr.Samia Suluhu Hassani. hakuna neno kwako juu ya amani ya Tanzania.

Kwa unyenyekevu mkubwa, hekima na busara, na bila mihemko, ghadhabu wala chuki...

Unarate uimara wa amani ya Tanzania katika kiwango gani kati ya 10% - 90% ya ufanisi wa kuichochea katika awamu hii ya sita?

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Watanzania wanaishi kwa amani na utulivu sana, ukilinganisha na nchi nyingine yoyote Afrika Mashariki.

Shughuli za kiuchumi mathalani utalii, biashara, uwekezaji katika sekta mbalimbali, viwanda, kilimo, uvuvi, usafirishaji na shughuli nyingine mbalimbali binafsi za waTanzania, zinafanyika katika utulivu na amani ya uhakika sana.

Ulinzi wa watu, mali zao na mipaka ya pande zote za nchi, ni wa uhakika na imara sana na hiki ndicho chanzo cha kudumu cha furaha na utangamano miongoni mwa Watanzania.

Asante sana Serikali ya awamu ya sita kwa hili, shukrani za kipekee sana kwa rais, Dr.Samia Suluhu Hassani. hakuna neno kwako juu ya amani ya Tanzania.

Kwa unyenyekevu mkubwa, hekima na busara, na bila mihemko, ghadhabu wala chuki...

Unarate uimara wa amani ya Tanzania katika kiwango gani kati ya 10% - 90% ya ufanisi wa kuichochea katika awamu hii ya sita?

Mungu Ibariki Tanzania.
Acha ufala.

Watu wanatekwa na wasiojulikana
 
Tanzania ni sawa na bondia aliyepigana miaka kumi kwenye pambano akashinda so anachukulia refference ya miaka 10 iliopita ....


Nchi km ina ulinzi mzuri inapimwa kipindi cha vita

Angalia Israel ilipiga mataifa sita ya kiarabu lakini leo hamas inawatoa kamasi
 
Watanzania wanaishi kwa amani na utulivu sana, ukilinganisha na nchi nyingine yoyote Afrika Mashariki.

Shughuli za kiuchumi mathalani utalii, biashara, uwekezaji katika sekta mbalimbali, viwanda, kilimo, uvuvi, usafirishaji na shughuli nyingine mbalimbali binafsi za waTanzania, zinafanyika katika utulivu na amani ya uhakika sana.

Ulinzi wa watu, mali zao na mipaka ya pande zote za nchi, ni wa uhakika na imara sana na hiki ndicho chanzo cha kudumu cha furaha na utangamano miongoni mwa Watanzania.

Asante sana Serikali ya awamu ya sita kwa hili, shukrani za kipekee sana kwa rais, Dr.Samia Suluhu Hassani. hakuna neno kwako juu ya amani ya Tanzania.

Kwa unyenyekevu mkubwa, hekima na busara, na bila mihemko, ghadhabu wala chuki...

Unarate uimara wa amani ya Tanzania katika kiwango gani kati ya 10% - 90% ya ufanisi wa kuichochea katika awamu hii ya sita?

Mungu Ibariki Tanzania.
Kwani fisi wa madoa doa wametafuna wangapi🫠
 
Watanzania wanaishi kwa amani na utulivu sana, ukilinganisha na nchi nyingine yoyote Afrika Mashariki.

Shughuli za kiuchumi mathalani utalii, biashara, uwekezaji katika sekta mbalimbali, viwanda, kilimo, uvuvi, usafirishaji na shughuli nyingine mbalimbali binafsi za waTanzania, zinafanyika katika utulivu na amani ya uhakika sana.

Ulinzi wa watu, mali zao na mipaka ya pande zote za nchi, ni wa uhakika na imara sana na hiki ndicho chanzo cha kudumu cha furaha na utangamano miongoni mwa Watanzania.

Asante sana Serikali ya awamu ya sita kwa hili, shukrani za kipekee sana kwa rais, Dr.Samia Suluhu Hassani. hakuna neno kwako juu ya amani ya Tanzania.

Kwa unyenyekevu mkubwa, hekima na busara, na bila mihemko, ghadhabu wala chuki...

Unarate uimara wa amani ya Tanzania katika kiwango gani kati ya 10% - 90% ya ufanisi wa kuichochea katika awamu hii ya sita?

Mungu Ibariki Tanzania.
Hii nchi kuna amani utulivu na usalama hadi mazingira ya kujamba yamehakishiwa amani na furaha ni mwendo wa kujamba tu mbrrr mbrrrr mbrr nakujaza atmosphere yote na uhondo wa ushuz yani ni mbrrr mbrrrr mbrr za kutosha.

Nyau nyie!
 
Acha ufala.

Watu wanatekwa na wasiojulikana
watu hufariki dunia pia kwa mapenzi ya Mungu..

by the way dosari na kasoro kiduchu zipo kwa watu wasio waaminifu lakini ukweli utabaki pale pale Amani na Utulivu Tanzania ni imara na wa kuaminika ukilinganisha na nchi nyingine Africa Mashariki 🐒
 
Tanzania ni sawa na bondia aliyepigana miaka kumi kwenye pambano akashinda so anachukulia refference ya miaka 10 iliopita ....


Nchi km ina ulinzi mzuri inapimwa kipindi cha vita

Angalia Israel ilipiga mataifa sita ya kiarabu lakini leo hamas inawatoa kamasi
nchi yoyote inayoshiriki vita direct or indirect haina amani 🐒

lakini nchi yenye taharuki na kuwekeza na kujilimbikizia kila aina ya silaha haina amani kabisa 🐒

Tanzania ni Tofauti na Kipekee kabisa hatuna hata habari na vita 🐒
 
Siku hizi nazidi kukupenda, hizi spana kwa hawa machawa zisipungue hata kidogo. Watu wanatekwa kila siku, yeye yupo busy kutetea maslahi yake ya buku saba
wanachama wa mihemko mnapeana moyo sio 🤣
 
Hivi maadui wengi wa nchi na wanachi wanatoka nje ya mipaka kuliko walio ndani ya mipaka ?
kupima kiwango cha maadui itatagemea vita ulizopigana 🐒

mfano Tz tulikua na maadui wa3 wakati tukipata uhuru ambao ni,
umaskini , ujinga na maradhi...

tumevipiga vita hivi kwa uzuri sana na kuvishinda kwa kishindo sana, na ndio maana tunaweza kuzungumza kwa amani kitechnlologia kama hivi 🐒
 
Chawa mzoefu, naona unamalizia biashara usiku huu. Acha tukuungishe, ukapate buku 7 zako. Watoto waende toilet...
serikali itaendelea kukupa ulinzi na usalama wa uhakika unapofanya kazi na shughuli zako za kila siku mpaka ihakikishe umefanikiwa kimaisha na gubu, mihemko na ghadhabu zimeshuka chini na kutulia kabisa 🐒
 
Back
Top Bottom