Ulinzi na Usalama wa Tanzania ni imara, wa uhakika na wa kuaminika

Haya, kaa usubiri ujira wako mkuu.
ujira wa chama na serikali sikivu ya CCM ni kuhakikisha licha ya kwamba kuna mihemko ya hapa na pale lakini mnahemka katika mazingira yenye ulinzi wa uhakika na Amani ya kudumu πŸ’

Kwan kuna ubaya wowote gentleman πŸ’
 
Siku wakikutanua kipenyo. Chako hiko utajua usalama wa kinyeo chako
nadhan muhimu kinachofanyika ni kuhakikisha kwamba mihemko na ghadhabu zako unazifanya ukiwa na amani,

hata ukiwa unafanya mazoezi ya kuanza kuporomosha matusi lazma uwe kwenye mazingira ya aman, hilo ni muhimu zaidi πŸ’
 
nadhan muhimu kinachofanyika ni kuhakikisha kwamba mihemko na ghadhabu zako unazifanya ukiwa na amani,

hata ukiwa unafanya mazoezi ya kuanza kuporomosha matusi lazma uwe kwenye mazingira ya aman, hilo ni muhimu zaidi πŸ’
Alafu we jamaa hivi unajiona hupo usalama hii nchi kupitia ccm.
 
Alafu we jamaa hivi unajiona hupo usalama hii nchi kupitia ccm.
wananchi na waTanzania katika umoja na mshikamano wao kwa ujumla, tupo salama sana tena kwa uhakika zaidi ya mahali pengine popote Africa Mashariki πŸ’

serikali sikivu ya CCM, chini ya Rais Dr.Samia Suluhu Hassan inalilisimamia hilo kwa nguvu zote na ndio maana hakuna kitisho cha aina yoyote kutoka popote cha kuhatarisha usalama na amani ya waTanzania πŸ’
 
Mifimifi tu 🚽🚽🚽
 
Mifimifi tu 🚽🚽🚽
serikali sikivu ya CCM inahakikisha ,
hayo yote unayafanya katika ulinzi wa uhakika na amani ya kudumu, hata kama una mihemko πŸ’
 
Wote hao watatu wapo Sana na Sasa wana wajukuu zao kina Uoga na unafiki.

Uwepo was serikali ni kuthibitisha Uharif mkuu umetuzunguka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…