Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Wamatopeni Kolouzidad Wamechanganyikiwa Sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mgonjwa ikifika tarehe 20 anaweza akafa kwa shambulio la moyo.Kaeni kwa kutulia mgonjwa bado anahema lolote linaweza kutokea
Mwambie tu ukweli, nesi kishachomoa dripu......Hakuna msiba ila hali ya mgonjwa ni mbaya sana, juzi walimtoa kigoma hali bado haijatengamaa.
😂 angewachezesha na akakosa matokeo bado mngelaumu kwanini kawachezesha, ila mnapitia kipindi kigumu kweli.Shida hachezeshi madogo kina kazi..chasambi...n.k hizo ndo mechi zao watoto wamekulia kwny viwanja vya majaruba...
Izraili ana tabia ya kumuua mzima ujuee .Mgonjwa ikifika tarehe 20 anaweza akafa kwa shambulio la moyo.
Sio kama nyie kipindi cha mabakuli...ss timu ipo stable financially watu wanakula rahaa...😂 angewachezesha na akakosa matokeo bado mngelaumu kwanini kawachezesha, ila mnapitia kipindi kigumu kweli.
Upo tu? Hujabadiri I'd bado? Nimekutafuta sanaIwenaaaa
Juzi mgonjwa alitapika mawese, leo alizeti 😂Mwambie tu ukweli, nesi kishachomoa dripu......
Yanga tulishasahau shida hizo, pesa ipo na mpira upo, ukibisha tarehe 20 sio mbali.Sio kama nyie kipindi cha mabakuli...ss timu ipo stable financially watu wanakula rahaa...
Daah sitawahi wala sitajaribu kufikiria hilo jambo ..Upo tu? Hujabadiri I'd bado? Nimekutafuta sana
Sawa...hat ss tunajua sio mbaliYanga tulishasahau shida hizo, pesa ipo na mpira upo, ukibisha tarehe 20 sio mbali.
Ila we dada una uvumilivu wa hali ya juu.Izraili ana tabia ya kumuua mzima ujuee .
Kosi kapanga mwenyewe...yy atulie ajenge kikosi kijacho..Kocha wetu kagoma kuachia siti,kakaza anajiona Houth wa Yemen si ndio!.
Usiogope sasa zitakua goli chache tu.Sawa...hat ss tunajua sio mbali
Since nikiwa na 7yrs naijua Simba bwana shemeji...so huwezi nitoa kwny mfumo wake kirahisi ..changamoto hazikimbiwi...Ila we dada una uvumilivu wa hali ya juu.