ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
Apo mkuu sijui ila tu alifariki maana mm pia wakati anafariki 2001 nilikuw ata sijaanza shule ya msingi ila nilikuwa naskia matangazo ya msiba wake.Ok nawe walimdedishaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo mkuu sijui ila tu alifariki maana mm pia wakati anafariki 2001 nilikuw ata sijaanza shule ya msingi ila nilikuwa naskia matangazo ya msiba wake.Ok nawe walimdedishaaa
Sawa sawaApo mkuu sijui ila tu alifariki maana mm pia wakati anafariki 2001 nilikuw ata sijaanza shule ya msingi ila nilikuwa naskia matangazo ya msiba wake.
Mkuu hutaki watu wapepese macho 🤣Mada ni ya Congo mkuu.
HahahahhaAlikuwa Makamu wa Rais wa Mkapa kutokea Zanzibar.....inavyosemekana alitakiwa kufa Mu7....jamaa akajichanganya kula chakula kisichokuwa chake....
Inasemekana......
Hujui???🤔Omari Ali juma alikuwa nan mkuu
Ndio kakaHujui???🤔
Hii sio kweli tafadhariAlikuwa Makamu wa Rais wa Mkapa kutokea Zanzibar.....inavyosemekana alitakiwa kufa Mu7....jamaa akajichanganya kula chakula kisichokuwa chake....
Inasemekana......
Mbona umeshangaa mkuu?Duuh
Watu wana siriiMbona umeshangaa mkuu?