Ulinzi uwe kipaumbele historia ya Habyrimana na Ntaryamira isijirudie

Apo mkuu sijui ila tu alifariki maana mm pia wakati anafariki 2001 nilikuw ata sijaanza shule ya msingi ila nilikuwa naskia matangazo ya msiba wake.
Duuh
 
Alikuwa Makamu wa Rais wa Mkapa kutokea Zanzibar.....inavyosemekana alitakiwa kufa Mu7....jamaa akajichanganya kula chakula kisichokuwa chake....

Inasemekana......
Hahahahha
 
Alikuwa Makamu wa Rais wa Mkapa kutokea Zanzibar.....inavyosemekana alitakiwa kufa Mu7....jamaa akajichanganya kula chakula kisichokuwa chake....

Inasemekana......
Hii sio kweli tafadhari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…