Ulinzi wa penzi.......

Ulinzi wa penzi.......

Brother Teamo na babu Aspirin last week walitushauri tu-let love lead the way..sijui leo watasemaje juu ya ulinzi wa penzi,am waiting
Kwahiyo sasa hivi umeacha love to lead the way???
 
Habari zenu binafsi..........

Ni hivi: Penzi halilindwi! Penzi linajilinda lenyewe, ambaye hajaelewa anifuate huku kitandani nimfafanulie. Aje without.........

mmhh...umeniacha hoi!
 
Mimi penzi langu naliacha nje kila anayetaka anajiservia atakavyo...! Matokeo yake kila mmoja ameishia kukinai...! Sasa ni langu mwenyewe na situmii nguvu yeyote kuilinda....!
 
Mimi penzi langu naliacha nje kila anayetaka anajiservia atakavyo...! Matokeo yake kila mmoja ameishia kukinai...! Sasa ni langu mwenyewe na situmii nguvu yeyote kuilinda....!

duhhhhh hii mpya kabisa..
Je huoni wivu??
 
Mimi hapa nina shoka, visu, mshale , gobore, manati na nyuki nalinda penzi kwa style hiyo sidhani kama mtu anaweza kusogea

TF huu ni ulinzi wa nje tuu
Sijui ulinzi wa ndajni ukoje namaanisha emotional side
Je ukilinda nje watu wakikuona nae au wakiona kuwa wewe na yule ni wapendanao na ndani je kuna ukweli katika hilo la nje au una mabomu na mikuki ya nje kuwakimbiwa wezi wa pendo lenu ila kwa ndani kuna element za wapenzi kibao
 
Penzi siyo pesa, penzi si size ya mtarimbo, penzi si kukata viuno, penzi si kuvaa shanga...........

Penzi ni kitu kingine kabisa..........

Babu wasaidie wajuukuu ..
kulinda penzi..
 
TF huu ni ulinzi wa nje tuu
Sijui ulinzi wa ndajni ukoje namaanisha emotional side
Je ukilinda nje watu wakikuona nae au wakiona kuwa wewe na yule ni wapendanao na ndani je kuna ukweli katika hilo la nje au una mabomu na mikuki ya nje kuwakimbiwa wezi wa pendo lenu ila kwa ndani kuna element za wapenzi kibao
Mkuu kwenye bluu ni MPENZI MMOJA na sio WAPENZI KIBAO fanya editing basi
 
How do you protect your love ?
Je unalinda vipi upendo(penzi)??


nawasalimu nyote , poleni na kazi za hapa na pale
na majuukumu ya maisha..

Swala la upendo ni kitu kizito sana , ni mara nyingi nimeona hapa jamvini,
tunaongelea swala hili . tunafundishana jinsi ya kupenda na kupendana.
na upendo niuongelea hapa ni wa kati ya mke na mume, Gf na Bf, partners.....etc..
na ulinzi ni uongeleao ni wa ndani"emotional side" pamoja na wa nje...

Je tuki linda penzi hii itasaidia ku imarisha uhusiano kati ya wapendanao au ku
punguza talaka au kutengana ??

asanteeni AD..

Ama sijaelewa au nakushangaa!!

Kama siyo kutafuta BP nini???

Naamini kwenye organic products...Let things run themselves as nature wishes!!
 
Niwasaidie nini mamito? kulinda penzi? Nshawaambia penzi halilindwi....ebo!

Value it, Cherish it, Be thankful na vitu kama hivyo je vina saidia ku protect
upendo??
 
Ama sijaelewa au nakushangaa!!

Kama siyo kutafuta BP nini???

Naamini kwenye organic products...Let things run themselves as nature wishes!!

babu shkamoo..
hata mimi sjakuelewa unanishangaa au hujanielewa..

Anyway swali ni kwamba ni viti gani waweza fanya ku linda penzi??

je umenielewa sasa ua la??
 
Pesa ndio mlinzi bora zaidi...kosa uone wenzio watakavyokusaidia kumuweka mwenzi wako mjini...
Kiuhalisia mapenzi yanatakiwa kuwa kwenye autopilot mode...

Hakuna kinachoweza kulinda penzi pesa huweza kulainisha tu lakini unaweza kuwa nayo na wala lisiwe safe...cha msingi ni wewe mwenyewe na mwenzi wako kulindana kwa kupendana kwa dhati.
 
AD mie nahisi ukianza kulinda penzi utachanganyikiwa na maisha,
Ni bora kuwa huru na mawazo yako kwanza kujiamini mwenyewe na kumwamini mwenza wako ..pia kumuonyesha kuwa unampenda .
Mungu ndie mlinzi wa yote
 
Back
Top Bottom