Nnyindojihadini
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 643
- 437
Bado sijapata jibu kwanini mayweather ni bondia lakini nayeye analindwa na baunsa.
Sheria ya majuu hiyo ukiwa mtu maarafu na mwenyekipato flani lazima na walinzi, serikali haikuruhusu kujiweka rehani kwa namna yeyote ile.