Nnyindojihadini
JF-Expert Member
- Nov 12, 2018
- 643
- 437
Hapo mwanzo kabla ya hii mada, nilikuwa nikidhani kila mcheza kareti anaweza kuwa mlinzi binafsi..
Wapi nimeongelea baunsa?Kuna tofauti kubwa kati ya body guard na baunsa
Hapana mzee icho ni kitengo na kina mafunzo ingawa karate inaweza kua moja ya msaada kwa nchi za wenzetu taasisi binfasi ambazo zina academy za kufindisha private bodyguards na pia kuna mashindano ya V.I.P protections ingawa na zenyewe zina udhaifu kama ukikumbuka kisa cha kupigwa risasi ndugu wa raisi wa marekani JF Kenedy baada ya kuajiri walinzi binafsi kumbe kuna baadhi ya ujuzi walikosa unaweza enda youtube ukajionee makosa yaliyofanyikaHapo mwanzo kabla ya hii mada, nilikuwa nikidhani kila mcheza kareti anaweza kuwa mlinzi binafsi..
Sasa kwa hawa walinzi wa VIPs vitambi vyao si ni vile vya nyama uzembe?sio vitambi vyote ni accumulation of fat layers and farcias vingine ni muscles na ngozi inakua very lean mfano ushawaona wanyanyua vitu vizito na wenye nguvu( strong and power lifters) wengi wnavitambi ila si vya mafuta ni muscles zile sema tumbo ni kubwa na ukibonyeza akibonyezeki..
pia sawa vingine ni uzembe vinahitaji mazoezi
Shukrani sana.. Na hii ni moja kati ya faida ya kuwa jfHapana mzee icho ni kitengo na kina mafunzo ingawa karate inaweza kua moja ya msaada kwa nchi za wenzetu taasisi binfasi ambazo zina academy za kufindisha private bodyguards na pia kuna mashindano ya V.I.P protections ingawa na zenyewe zina udhaifu kama ukikumbuka kisa cha kupigwa risasi ndugu wa raisi wa marekani JF Kenedy baada ya kuajiri walinzi binafsi kumbe kuna baadhi ya ujuzi walikosa unaweza enda youtube ukajionee makosa yaliyofanyika
Hapana mzee icho ni kitengo na kina mafunzo ingawa karate inaweza kua moja ya msaada kwa nchi za wenzetu taasisi binfasi ambazo zina academy za kufindisha private bodyguards na pia kuna mashindano ya V.I.P protections ingawa na zenyewe zina udhaifu kama ukikumbuka kisa cha kupigwa risasi ndugu wa raisi wa marekani JF Kenedy baada ya kuajiri walinzi binafsi kumbe kuna baadhi ya ujuzi walikosa unaweza enda youtube ukajionee makosa yaliyofanyika
hahaha kono gogo fua jumba...hao ni wauza surazee na ndo wa kwanza kukimbia kunatukio moja walikodiwa na tajiri mmoja ivi ili wakasimamie eneo ambalo ni la wananchi sema tajiri iubabe kalichukua wazee wamefika pale wamevimba kama vifaru vifua kama tofali bas kumbe wanakijiji walijipanga na silaha za jadi zilipigwa mishale hapo mabaunsa wote mbio hahahaha wengine wameingia chini ya gari yan shida tupuWatu wana mitazamo hasi kabisa,wanajua bodyguard lazima awe mnyanyua vyuma kono gogo fua jumba ila mtu akiwa kama MX CARTER basi hafai kuwa mlinzi wa watu maarufu.
Ulingoni huwa anapambana na mtu mmoja tena kuna sheria za mchezo, lakini katika uvamizi wa kumdhuru mtu hakuna idadi wala sheria, hivyo ni muhimu kuwa na tahadhari kwa kutembea na mabaunsa.Bado sijapata jibu kwanini mayweather ni bondia lakini nayeye analindwa na baunsa.
Nakumbuka hilo tukio lilionyeshwa ITV,aliyekodi mabaunsa anaitwa CHACHA,mabaunsa walipigwa mapanga balaa!!hahaha kono gogo fua jumba...hao ni wauza surazee na ndo wa kwanza kukimbia kunatukio moja walikodiwa na tajiri mmoja ivi ili wakasimamie eneo ambalo ni la wananchi sema tajiri iubabe kalichukua wazee wamefika pale wamevimba kama vifaru vifua kama tofali bas kumbe wanakijiji walijipanga na silaha za jadi zilipigwa mishale hapo mabaunsa wote mbio hahahaha wengine wameingia chini ya gari yan shida tupu
Buroo za ulingoni zinalindwa na rules tofauti na street fights...Bado sijapata jibu kwanini mayweather ni bondia lakini nayeye analindwa na baunsa.
Yatakiwa uwe mnyanyua vyuma mzuri na mvaaji nguo zisizobana maungp kwa ajili ya msamba. Huu ulinzi wa baunsa nilionaga hamnapo siku moja tukiwa disco Baunsa mlinzi pale ukumbini alileta za kuleta kwa mwenzetu mmoja mtaaluma wa hizo combative carrate. Ilikuwa ni aibu kwa baunsa alikuwa anakwenda nchini kama gunia la pamba vile kwa mitama.
Atakuwepo tu mjiniMwarabu fighter amefia wapi?
Kwaiyo unataka kusema?Muhimu kuchukua tahadhari walimu wa self defense wako wasanii. Ukisikia mwalimu anatamka neno mashwati juu huyo tapeli, alienda akajifunza mafunzo ya halaiki na sarakazi na tuteteke twa kubangaiiza eti naye ni master Abdallah, mbullah!!!
Kwaiyo unataka kusema?