HASIRA HASARA
Member
- Aug 21, 2012
- 17
- 0
wanajamvi nimepata mkopo na loan batch za ifm zinasema tution fee watanilipia 700000 swali langu je mimi nitalipa 800000 iliyobaki au nitalipa kulingana na joining instruction inavyosema yaani 60% ambayo ni 900000 hapa sielewi kidogo mwenye uelewa na idea anisaidie