Ulipaji wa tution fee ifm

Ulipaji wa tution fee ifm

HASIRA HASARA

Member
Joined
Aug 21, 2012
Posts
17
Reaction score
0
wanajamvi nimepata mkopo na loan batch za ifm zinasema tution fee watanilipia 700000 swali langu je mimi nitalipa 800000 iliyobaki au nitalipa kulingana na joining instruction inavyosema yaani 60% ambayo ni 900000 hapa sielewi kidogo mwenye uelewa na idea anisaidie
 
wanajamvi nimepata mkopo na loan batch za ifm zinasema tution fee watanilipia 700000 swali langu je mimi nitalipa 800000 iliyobaki au nitalipa kulingana na joining instruction inavyosema yaani 60% ambayo ni 900000 hapa sielewi kidogo mwenye uelewa na idea anisaidie

Km unao uwezo unashauriwa kulipa kiasi chote kilichobakia b4 14th oct na km inashindikana unatakiwa ulipe 60% ya 800000 plus direct cost ambayo ni sawa na 150000
 
Back
Top Bottom