Ulipata funzo gani wakati wa COVID-19 Kama mwajiriwa?

Ulipata funzo gani wakati wa COVID-19 Kama mwajiriwa?

Mia saba

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2022
Posts
255
Reaction score
390
Katika lile tukio lililoshtua ulimwengu,
katika tasnia ya ajira tuliona wengi kupunguzwa makazini.

Binafsi nilijifunza kuchapa kazi mno Kuna tija mno maana kusimamishwa inamaanisha Kuna watu wanaweza fanya ata wewe usipokuwepo kuhusu saving hapo nilijifunza ni Jambo la msingi mno.

Karibu tukumbushane
 
Nilijifunza ya kuwa mwajiriwa sio lolote wala sio chochote.Asante kwa kunikumbusha machungu,nilikua nishaanza kujisahau.

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom