Ulipata kujiuliza Unabii katika Mathayo 24:14 utatimizwaje?

Ulipata kujiuliza Unabii katika Mathayo 24:14 utatimizwaje?

joex

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2011
Posts
1,598
Reaction score
1,294
Math. 24:14 Na hii habari njema ya Ufalme itahubiriwa ktk Dunia yote inayokaliwa ili kuwa USHAHIDI kwa mataifa yote, na ndipo ule mwisho utakapo kuja. Lengo la Mungu ni kukusanya wanadamu wanyofu kutoka huko kwenye mifumo ya kijamii ambayo haiwapi uhuru wa kumjua Mungu wa Kweli na Mafundisho yake ya kweli (Biblia).

Hagai 2:7 Nami nitayatikisa Mataifa yote, vitu vya thamani vya mataifa vitaingia nyumba hii. Ufunuo 18:4 Tokeni kwake ninyi watu wangu, ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.

Maswali ninayotaka mtafalari ni haya:
1. Unakumbuka SOVIET UNION? je ulipata jua kuwa ilikuwa hairuhusu Ukiristo kama ulivyoruhusiwa nchi za Magharibi? Unakumbuka ilivyosambaratika? kwa sasa Putin anafanya shingo NGUMU, tuzifuatilie taarifa zake kwa karibu.

2. Unajua jinsi Ukiristo na Biblia vinavyopigwa vita katika Nchi za Kiislamu hususan zile za Kiarabu? Unakumbuka Arab Spring ilivyosababisha Waislam wengi kuhama nchi zao, vipi kuhusu YouTube na internet vinavyowasaidia Waislam wa nchi hizo kufikiwa na ujumbe wa Biblia? Mwana Mfalme wa Saudi Arabia inaonekana ameisha upata ukweli kwani Kuna Sera nyingi anabadili ambazo zitaleta uhuru wa kuabudu. Maayatolah wa Irani Bado Wana shingo ngumu, ndiyo maana Watoto wa kike wakaamdamana kukataa HIJABU

3. China kwa kiasi kikubwa hairuhusu Biblia kama ilivyo katika Nchi nyingine. Unajua namna Sera yao ya kupeleka wananchi wao kufanya kazi ng'ambo ilivyosaidia waujue Ukiristo?
 
Math. 24:14 Na hii habari njema ya Ufalme itahubiriwa ktk Dunia yote inayokaliwa ili kuwa USHAHIDI kwa mataifa yote, na ndipo ule mwisho utakapo kuja. Lengo la Mungu ni kukusanya wanadamu wanyofu kutoka huko kwenye mifumo ya kijamii ambayo haiwapi uhuru wa kumjua Mungu wa Kweli na Mafundisho yake ya kweli (Biblia).

Hagai 2:7 Nami nitayatikisa Mataifa yote, vitu vya thamani vya mataifa vitaingia nyumba hii. Ufunuo 18:4 Tokeni kwake ninyi watu wangu, ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.

Maswali ninayotaka mtafalari ni haya:
1. Unakumbuka SOVIET UNION? je ulipata jua kuwa ilikuwa hairuhusu Ukiristo kama ulivyoruhusiwa nchi za Magharibi? Unakumbuka ilivyosambaratika? kwa sasa Putin anafanya shingo NGUMU, tuzifuatilie taarifa zake kwa karibu.

2. Unajua jinsi Ukiristo na Biblia vinavyopigwa vita katika Nchi za Kiislamu hususan zile za Kiarabu? Unakumbuka Arab Spring ilivyosababisha Waislam wengi kuhama nchi zao, vipi kuhusu YouTube na internet vinavyowasaidia Waislam wa nchi hizo kufikiwa na ujumbe wa Biblia? Mwana Mfalme wa Saudi Arabia inaonekana ameisha upata ukweli kwani Kuna Sera nyingi anabadili ambazo zitaleta uhuru wa kuabudu. Maayatolah wa Irani Bado Wana shingo ngumu, ndiyo maana Watoto wa kike wakaamdamana kukataa HIJABU

3. China kwa kiasi kikubwa hairuhusu Biblia kama ilivyo katika Nchi nyingine. Unajua namna Sera yao ya kupeleka wananchi wao kufanya kazi ng'ambo ilivyosaidia waujue Ukiristo?
Napenda sasa kujikita kwenye vitu viwili:
1. Ushahidi kwamba USSR & Putin's Russia zilivyokandamiza ukiristo
2. Kuwahimiza wote wenye mioyo minyofu wa DINI zote kuutafuta ukweli, kwani biblia inasema katika Daniel 12:4 inasema Daniel yaweke siri maneno haya ... mpaka wakati wa mwisho, wengi watazunguka huku na huku na ujuzi wa kweli utakuwa mwingi
Fuatana nami hapo chini
 
Ushahidi wa Soviet Union na Putin's Russia kukandamiza Ukiristo; lakini hataweza kuziia unabii. Daniel 11 inazungumzia mvutano kati ya Mfalme wa Kusini (USA& UK wakiungwa Mkono na Washirika wao dhidi ya Mfalme wa Kaskazini SOVIET/RUSSIA na Washirika wake) katika Daniel 11:20 inasema Mfalme wa Kaskazini atavunjwa ingawa si kwa hasira Wala vitani (kumbuka kilichoipata Soviet union 1991) na baada ya hapo ikaja Russia iliyodharaulika Dan. 11:21 ukiendelea kusoma mistari inayofuata utaona namna Russia ilivyoilaghai Dunia na baadae kuibuka kama taifa lenye nguvu kijeshi. Malizia mistari ya 44 na 45 uone atakavyoishia (aibu). Ndyo maana nasema tufuatilie kwa Karibu taarifa za Putin. Pamoja na unabii huu, lazima unabii mwingine katika. 1 Wathesolanike. 5:3 kwamba pale ambapo mwisho unatakakutokea ni lazima Dunia iseme Aha sasa tuna AMANI! hiyo itatokeaje iwapo Putin na shingo yake ngumu yupo!!??
Screenshot_20230507-172012.png
Screenshot_20230507-172618.png
 
Jambo la pili ni kuwahimiza kuwa Quran kimethibitika kutokula kitabu Cha Mungu wa kweli
1. Nawasihi muingie youtube muangalie video footage za Christian Prince. Huyu amefanya kazi kubwa kufichua Uongo wa Quran3.
2. Quran siku hizi Iko mtandaoni ingieni website ya sunnah.com hapo mtaweza kusoma Aya zote za Quran na Hadith zote
3. Kuna baadhi ya Aya za Quran wakati wa kutafsiri into English zimepotoshwa makusudi hivyo mnaweza tumia website
 
Katika screen shot inayofuata inaonyesha Quran 33:56 ambapo kiuhalisia Aya hiyo kwa kiarabu inasema Allah na Malaika zake wanaswali kwa Mtume (highlight) lakini ikapotoshwa kabisa kuepuka hiyo embarrassment. Unaeeza copy na kutumia translator utaona neno hilo ni PRAY na Wala siyo BLESS
Screenshot_20230503-184611.png
 
Hangaikeni na kitabu chenu kwanza(biblia) mchambue mapungufu mengi na mrekebisho yanayofanywa kila siku kupotosha watu wasijue ukweli. Qurani ni kitu kingine huwezi kukielewa kitabu cha Mola mtukufu kwa unavyotaka wewe. Halafu ungebaki na hoja zako tukaja kuchambua hoja kuliko kuingiza hoja nyingine ambayo huna uwezo nayo.
 
Math. 24:14 Na hii habari njema ya Ufalme itahubiriwa ktk Dunia yote inayokaliwa ili kuwa USHAHIDI kwa mataifa yote, na ndipo ule mwisho utakapo kuja. Lengo la Mungu ni kukusanya wanadamu wanyofu kutoka huko kwenye mifumo ya kijamii ambayo haiwapi uhuru wa kumjua Mungu wa Kweli na Mafundisho yake ya kweli (Biblia).

Hagai 2:7 Nami nitayatikisa Mataifa yote, vitu vya thamani vya mataifa vitaingia nyumba hii. Ufunuo 18:4 Tokeni kwake ninyi watu wangu, ikiwa hamtaki kupokea sehemu ya mapigo yake.

Maswali ninayotaka mtafalari ni haya:
1. Unakumbuka SOVIET UNION? je ulipata jua kuwa ilikuwa hairuhusu Ukiristo kama ulivyoruhusiwa nchi za Magharibi? Unakumbuka ilivyosambaratika? kwa sasa Putin anafanya shingo NGUMU, tuzifuatilie taarifa zake kwa karibu.

2. Unajua jinsi Ukiristo na Biblia vinavyopigwa vita katika Nchi za Kiislamu hususan zile za Kiarabu? Unakumbuka Arab Spring ilivyosababisha Waislam wengi kuhama nchi zao, vipi kuhusu YouTube na internet vinavyowasaidia Waislam wa nchi hizo kufikiwa na ujumbe wa Biblia? Mwana Mfalme wa Saudi Arabia inaonekana ameisha upata ukweli kwani Kuna Sera nyingi anabadili ambazo zitaleta uhuru wa kuabudu. Maayatolah wa Irani Bado Wana shingo ngumu, ndiyo maana Watoto wa kike wakaamdamana kukataa HIJABU

3. China kwa kiasi kikubwa hairuhusu Biblia kama ilivyo katika Nchi nyingine. Unajua namna Sera yao ya kupeleka wananchi wao kufanya kazi ng'ambo ilivyosaidia waujue Ukiristo?
Kama huoni umuhimu wa Russia na Putin kwenye hii dunia ya leo, utakua haoko sawa.
 
Hangaikeni na kitabu chenu kwanza(biblia) mchambue mapungufu mengi na mrekebisho yanayofanywa kila siku kupotosha watu wasijue ukweli. Qurani ni kitu kingine huwezi kukielewa kitabu cha Mola mtukufu kwa unavyotaka wewe. Halafu ungebaki na hoja zako tukaja kuchambua hoja kuliko kuingiza hoja nyingine ambayo huna uwezo nayo.
Wewe fanya tu shingo Yako ngumu; unabii wa Mat 24:14 haukusubiri, utasituka wakati it's too late for you. Wenzio ndani ya Uislam wanachangamkia kweli. Sikiliza huyu Sheikh Khatan wa Saudi Arabia alivyosema kuwa kila mwaka Waislam 6,000,000 Africa wanabadili DINI kuwa Wakristo. Alikuwa anahojiwa na Aljazeera
 

Attachments

  • 6-million-african-muslims-are-converting-to-christianity-yearly-said-sheikh-ahmad-al-katani-on...mp4
    50 MB
Kama huoni umuhimu wa Russia na Putin kwenye hii dunia ya leo, utakua haoko sawa.
Kuwa na subira kidogo uone kama Biblia itakuwa imeongopa. Haya ninayoandika ni kwa faida yako
 
Results could come out of the blues
 
Ushahidi wa Soviet Union na Putin's Russia kukandamiza Ukiristo; lakini hataweza kuziia unabii. Daniel 11 inazungumzia mvutano kati ya Mfalme wa Kusini (USA& UK wakiungwa Mkono na Washirika wao dhidi ya Mfalme wa Kaskazini SOVIET/RUSSIA na Washirika wake) katika Daniel 11:20 inasema Mfalme wa Kaskazini atavunjwa ingawa si kwa hasira Wala vitani (kumbuka kilichoipata Soviet union 1991) na baada ya hapo ikaja Russia iliyodharaulika Dan. 11:21 ukiendelea kusoma mistari inayofuata utaona namna Russia ilivyoilaghai Dunia na baadae kuibuka kama taifa lenye nguvu kijeshi. Malizia mistari ya 44 na 45 uone atakavyoishia (aibu). Ndyo maana nasema tufuatilie kwa Karibu taarifa za Putin. Pamoja na unabii huu, lazima unabii mwingine katika. 1 Wathesolanike. 5:3 kwamba pale ambapo mwisho unatakakutokea ni lazima Dunia iseme Aha sasa tuna AMANI! hiyo itatokeaje iwapo Putin na shingo yake ngumu yupo!!??
View attachment 2613505View attachment 2613506
Daniel sura ya 11 inahusu UK/USA na Russia au iliwahusu kina Ptolemy na mpinzani wake? Baada ya kuvunjika kwa uyunani na mwanzoni kwa kuanza kuamka kwa Dola ya kirumi?
 
Daniel sura ya 11 inahusu UK/USA na Russia au iliwahusu kina Ptolemy na mpinzani wake? Baada ya kuvunjika kwa uyunani na mwanzoni kwa kuanza kuamka kwa Dola ya kirumi?
Uko sahihi, Ptolemy I Ruler of Egypt (312 BCE) was King of the South whereas King of the North was Ruler of Syria (Seleucus I Nicator) Dan 11:5
Hata hivyo Dan 11:6-11 inaendeleza mvutano wa viongozi hao. Dan 11:20 inatuleta mpaka miaka ambapo Yesu alikuwa hapa Duniani; Syria ikiwa province ya Roman, basi Warumi wakachukua nafasi ya King of the North. NB mara zote King of the North ndye aliyeleta madhara makubwa kwa watu wa Mungu wa kweli Dan 11:22- "He will break the leader of the Covenant"- Jesus soma pia Dan 9:27
Katika nyakati za mwisho, kuanzia Karne ya 20, hiyo Rivalry ikachukua Sura nyingine. Vita kuu ya I&II king of the South akawa US&UK vs Germany. Baada ya Vita kuu ya II, ikawa US&UK vs Soviet union. Baada ya kumalizika Vita Baridi Soviet union iliondoka. Lakini king of the North angerudi na identify nyingine nayo ikawa Russia ya Putin; huyu naye ana history ya kuchukia watu wa Mungu. Atskakoishia hamna wa kumsaidia Dan 11:45
 
Is this what happened in Mecca after the end of the Holy month of Ramadan a miracle or an ominous sign!!???
 

Attachments

  • mecca-under-attack-by-bizarre-insect-plague-shocking-footage-reveals-vidloadr.mp4
    36.1 MB
Back
Top Bottom